Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Mtoto wa upanga huyo
Acha awa tindue ss si wanatuona wahuni wanawashobokea hao kumbe wanaliwa wanaachwa,hawajui kama wahuni masela ndy wako real wao madem wanataka mtu wake awe na status sjui yuko benki etc
Sisi wazushi watu wa dealπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ova
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ watoto wanapenda show off sana. Sie wahuni hatuna hizo pigo. Hutisikiki ila tunawala kibishi bishi tu
 
Mtoto wa upanga huyo
Acha awa tindue ss si wanatuona wahuni wanawashobokea hao kumbe wanaliwa wanaachwa,hawajui kama wahuni masela ndy wako real wao madem wanataka mtu wake awe na status sjui yuko benki etc
Sisi wazushi watu wa deal

Ova

Ujue dili za hapa na pale ukiotea moja tu watu wnatafutana labda uwe sio muhuni, nakumbuka ziliwahi kupigwa contena za pipi jamaa baada ya mgao wakaibuka na maajabu ya kutisha hadi leo watu hawawafikii
 
Back
Top Bottom