MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,548
- 24,159
Salute sana Mkuu.Narudia tena kusema bila kung'oa shingo ya mtu hadharani hawa wasimamizi wa uchaguzi,NEC na Policcm watawafanya "WATEJA" sana UPINZANI.
Salute sana Mkuu.Narudia tena kusema bila kung'oa shingo ya mtu hadharani hawa wasimamizi wa uchaguzi,NEC na Policcm watawafanya "WATEJA" sana UPINZANI.
Mimi hapa naona sinema tu aisee,
Msimamizi aliemtangaza Mgombea wa CCM kupita bila kupingwa nae ni CCM damu,
Huyu Mkurugenzi alipokea form ya Rufaa ni CCM Damu,
Mkurugenz wa NEC anaeombwa achukue hatua dhidi ya Mkurugenzi aliekataa kupokea form ni CCM Damu
Aisee vijana wa baraza la vichaa la chadema huwa mnajua kujitoa ufahamu?? Hebu uje ujaribu kufanya hivyo ndivyo utajua maana ya serikali.Narudia tena kusema bila kung'oa shingo ya mtu hadharani hawa wasimamizi wa uchaguzi,NEC na Policcm watawafanya "WATEJA" sana UPINZANI.
CDM ndo yenye hila. Hivi mlishindwa kurudisha fomu siku zote mpaka msubiri siku ya mwisho? Kama siyo hila ni kitu gani?una akili timamu ? hivi nani mwenye hila ?
Wewe hujitambui, mbulula,Ule msemo wa kujitekenya na kucheka mwenyewe unatimia sasa. MACHADEMA yanajitekenya na kucheka yenyewe.
Una uhakika na ulichoandika au unapuyanga tu ....taratibu unazijua?next time kaa kimyaCDM ndo yenye hila. Hivi mlishindwa kurudisha fomu siku zote mpaka msubiri siku ya mwisho? Kama siyo hila ni kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
cdm mnapenda public sympathy... acheni hila kwenye siasa.
hakuna mbwa yeyote wale polisi au jeshi lenye nguvu dhidi ya wananchi hawajaamua tu siku wakiamua yule mwenye moyo waplastic atazikwa kwenye tundu la panyaAisee vijana wa baraza la vichaa la chadema huwa mnajua kujitoa ufahamu?? Hebu uje ujaribu kufanya hivyo ndivyo utajua maana ya serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wa CCM alirudisha lini? Hebu kaoge kwanza unanuka "mbegu"CDM ndo yenye hila. Hivi mlishindwa kurudisha fomu siku zote mpaka msubiri siku ya mwisho? Kama siyo hila ni kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya endelea kujipa, huku ukiwa umejificha nyumba ya keyboardhakuna mbwa yeyote wale polisi au jeshi lenye nguvu dhidi ya wananchi hawajaamua tu siku wakiamua yule mwenye moyo waplastic atazikwa kwenye tundu la panya
Hivi kama mna uhakika huo figisu za nini sasa?Hata kama akirejeshwa CCM itashinda tu.Kwa sasa utendaji wa Mh Rais unawabeba wagombea wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule msemo wa kujitekenya na kucheka mwenyewe unatimia sasa. MACHADEMA yanajitekenya na kucheka yenyewe.
Hapo public sympathy inakujaje we germaa!ccm na wasimamizi wao ndio wamekiuka taratibu.msijiondoe ufahamucdm mnapenda public sympathy... acheni hila kwenye siasa.
Sio kumtangaza psychologically ni kuwaonya wanafuata, ukiacha kimya watageuza ndio means ya kushindia vita na hata kuwa njia ya kuwashawishi wengine waunge mkono ya MagustoneMakene hapo ni sawa na kuahirisha maumivu tu au ule usemi wa kuanua ngoma juani kama huyo msimamizi ndiye anategemewa kumtangaza mshindi unategemea atamtangaza huyo diwani wetu hata kama atashinda?
Sent using Jamii Forums mobile app