Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Niliwahi Kuomba Ushauri Hapa Kuhusu Mpenz Wangu Aliyevaaga Suruali Ya Kubana TIBA YA KUTOPENDA, Nikamtimua Lakin Baadaye Nikajihis Kumkosa Ila Sikuweza Kumwambia Kwa Sababu Mimi Ndiye Nilimtimua!
Baada Ya Kukosa Msaada Wa Mawazo Ya Ndumba, Nikafunga Na Kuomba Mungu Amrudishe, Heheheh...Eti Leo Kanipigia Na Kusema Kanimisi Kama Vp Turudishe Majeshi
Na Hajawa Na Yeyote Toka Tumeachana (Nami Vivyo Hivyo!)
Ndiye Yule Wa BIKRA IMENIFUNGA MWENZENU
Jaman Mungu Mkubwa Daima,Ila Tuombeane Ili Nipate Pesa, Nimuoe Huyu Binti!
Ahsanteni Na Mbarikiwe Kwa Wapenzi Wenu Na Ndoa Zenu!
Baada Ya Kukosa Msaada Wa Mawazo Ya Ndumba, Nikafunga Na Kuomba Mungu Amrudishe, Heheheh...Eti Leo Kanipigia Na Kusema Kanimisi Kama Vp Turudishe Majeshi
Na Hajawa Na Yeyote Toka Tumeachana (Nami Vivyo Hivyo!)
Ndiye Yule Wa BIKRA IMENIFUNGA MWENZENU
Jaman Mungu Mkubwa Daima,Ila Tuombeane Ili Nipate Pesa, Nimuoe Huyu Binti!
Ahsanteni Na Mbarikiwe Kwa Wapenzi Wenu Na Ndoa Zenu!