Hatimae account ya instagram ya Mange Kimambi yarejea

princewilly

JF-Expert Member
Nov 30, 2017
259
526
Baada ya kupotea kwenye mtandao kama wiki mbili hivi bwana insta amemrejeshea acc yake comment oyoo kumkaribisha tena
d7749a26e7204d83d62dfd63f5a56499.jpg
 
Mange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.


Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
 
Mange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.


Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
What if kama insta wenyewe walimwambia account yako itarudi kuanzia tr. 15?

Hujawahi kurenew line wakakwambia account yako ya pesa itakua activated baada ya SAA 72?
 
Mange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.


Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
Umenikumbusha Roma Mkatoliki!
 
Hali mbaya kwa walio kua wanamponda mange... Namkubali japo simuamini
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom