GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Gazeti la mawio serikali iliwafungia kwa sababu za kutoa habari juu ya utata wa hati ya muungano, tunajua kwamba ni kweli hati ya muungano haipo na kama ipo haina uhalali na ina utata.
Hivi sasa wazanzibari wamefungua kesi ya uhalali wa muungano, katika mahakama ya East Africa. . Jee ikiwa mahakama itathibitisha kuwa hati iliyo tolewa katika bunge la katiba ina utata na magumashi, serikali itajichukulia hatua gani kwa kulifungia mawio kwa kutoa habari za ukweli?
Je hio taasisi ya vyombo vya habari itakuchua hatua gani juu ya serikali kukandamiza vyombo vya habari na democracy?
Hivi sasa wazanzibari wamefungua kesi ya uhalali wa muungano, katika mahakama ya East Africa. . Jee ikiwa mahakama itathibitisha kuwa hati iliyo tolewa katika bunge la katiba ina utata na magumashi, serikali itajichukulia hatua gani kwa kulifungia mawio kwa kutoa habari za ukweli?
Je hio taasisi ya vyombo vya habari itakuchua hatua gani juu ya serikali kukandamiza vyombo vya habari na democracy?