Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Huu ndio ukweli,hapo wasipoe kabisa,huku kesi ya Ugaidi inaunguruma huku makongamano ya katiba yanafanyika,watachanganyikiwa wenyeweCha msingi CDM wasitumie nguvu nyingi sana kwenye kesi hii, bali waendelee na kuelekeza mapambano ya kudai Katiba mpya kwa nguvu zaidi sababu hilo ndilo lengo kuu kwa sasa. Dhumuni la CCM ilikuwa ni kumpiga mchungaji ili kondoo watawanyike na hili wameshalitimiza.
Kwa hiyo waonyesheni CCM kwamba kondoo hawatawanyiki na katiba mpya inaendelea kudaiwa kwa nguvu zote.