Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,006
- 1,377
Niliacha kumkubali Mbowe tangu siku alipobadilisha gia angani in 2015. Lakini huu uovu unaoendelea sasa juu yake haukubaliki aisee. This is unfair and unacceptable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hata Lissu akitoa ushahidi anaweza kusema Lissu atoe ushahidi kwamba ametoa ushahidi.Ndio huyu aliyepost. Hapo bado anakazania Lissu atoe ushahidi wa innocence ya Mbowe kwa sababu amepost akisema kuwa Mbowe anaonewa. Go figure.
Amandla...
Diwani na mchengerwa wapuuzi tuDah! Kutoka kupanga njama za kuua viongozi wa serikali hadi kulipua mitungi ya gesi!?
Upuuzi huu huwa anaupanga nani lakini? Kweli nimeanzan kuamini njama za kumuua Lissu walizipanga hawa hawa vichwa "think tank" waliondaa hii kesi......!
Watanzania kwa umoja wetu kazi yetu sasa iwe ni kuwatafuta hawa vichwa panzi! Unaweza kuta wapo sehemu nyeti serikalini ambayo maamuzi yao ndio yanaliongoza hili taifa! Hawa ndio wanapitia majina ya teuzi za mawaziri, mabalozi,nk hawa ndio wanajifungia sehemu na kuja na mbinu za kuinua uchumi na kutafuta muafaka wa tatizo la ajira, nk.nk....Jamani tuwatafute ili kunusuru taifa hili!
Hawachelewi kusema mbowe ndo kachoma kariakooSijawahi kuwa na hururma dhidi ya gaidi
Ah na kweli kamanda. Matumaini muhimu😁😁😁But tunawaswalia hawa....... wako karibu na Mungu (kwa imani za wengi)... kuongea na Mungu ni rahisi... au vipi?
Huu huu ndiyo. Kila awamu inaboresha. Hata huko Ulaya na America serikali zao hujikita katika kuboresha chumi zaoHuu huu uchumi ulioanza kuboreshwa tangu 1961 au kuna uchumi mwingine?
Who is accusing? Who is being accused?Prove=prove or disprove.
Wenye mamlaka kamwe hawajifunzi ya kwamba yupo Mungu aonaye yote haya na ANATAZAMA...!!!
Huenda hata kuteketea kwa solo la Kariakoo, anahusika.Mashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
Inamaana Chadema wanaweza kusubiri miaka 60 ijayo!Huu huu ndiyo. Kila awamu inaboresha. Hata huko Ulaya na America serikali zao hujikita katika kuboresha chumi zao
Cross examination kwamaneno mengineUtamu wa kesi ushahidi.
Wakikamatwa akina Mbowe ndio Mungu anatazama, wakikamatwa watu wengine huyo Mungu ghafla anakuwa kipofu, what the f***Wenye mamlaka kamwe hawajifunzi ya kwamba yupo Mungu aonaye yote haya na ANATAZAMA...!!!
Humjui Mbowe wewe!Hivi kweli toka may 2020 yawepo mashitaka kama haya tena chini ya Magufuli halafu Mbowe ni mmoja wapo halafu Magufuli akae kimya bila kusema? pengine hao vijana walipanga hayo lakini kumuhusisha Mbowe ni uongo ambao itakuwa ngumu kuhuthibitisha kamwe......
Kama Mbowe angekuwa ameyatenda haya Magufuli asingelinyamaza hadi anakufa lazima angelisema kabisa wazi... asingeficha hiii...
Mimi kawakweli sijawai kuwa fan wa Mbowe na nimekuwa nikimtania sana Mbowe humu jf lakini katika maisha yangu ataungeniambia kuwa Mbowe ni mtu muovu au anapanga uovu tena ugaidi kama huu ulioandikwa hapa na DPP kwakweli nisingekuamini na kamwe siwezi kukuamini.......Mbowe awezi fanya haya....... uzuri wakati taarifa zinatoka hizi pale tulipokuwa watu wote sio fan wa Mbowe lakini walikataa kata kata kuamini taarifa hizi na wengi tulisema wazi hakuna ushahidi nitauamini kuwa Mbowe ni gaidi....
Mbowe awezi fanya haya kamwe kamwe...
Hapa wanapoteza muda tuuu
Mashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
Unatetea tumbo huna mpyaukiangalia makosa yote aliyoshitakiwa nayo ni ya kipindi cha August, 2020, yaani soon before uchaguzi, hivyo kumbe alikuwa ameandaa kufanya ujinga wa kutisha, na mnakumbuka kuna baadhi ya sheli ziliungua kipindi kile, na criminal huwa haifi, hata kama ulifanya kosa miaka 20 iliyopita kama ushahidi upo wanaweza kukunanga hata leo. kwahiyo msimtetee tu, alijiandaa kwa namna yeyote ile mwaka jana achukue nchi hata kwa ugaidi. kasomeni sheria ya ugaidi mtajua elements zake. pia, kudai katiba isiwe kisingizio chenu/kinga, mnaweza kuwa mlifahamika muda mrefu tu wakaamua kuwapuuzia lakini mlipoanza kuleta jeuri serikali imeamua kuleta kibri, ndio dawa yenu.
Hawa Na Jiwe Walisema Kiswahili Mpaka Akapatikana Jaji Kiswahili 😀😁😂😃😄😄😅😆Hati ya mashtaka lazima iwe na lugha ya ki beberu eee
Maslahi gani ya Taifa Mkuu? Kila kesi ikifutwa sababu haina maslahi ya taifa tutabaki na kesi gani mahakamani? Mimi leo hii nikimtandika mke wangu, nikashtakiwa, ninaweza kuargue hiyo kesi haina maslahi ya Taifa. Ishu ya Bwana Mbowe nashauri viachwe vyombo vya sheria vifanye kazi yake. Ila lile wazo la Lissu la kutomwekea mawakili lisifuatwe, anaweza akafungwa na kwa tz yetu hii ilivyo maisha yataendelea na watu watamsahau
Hivi wewe hata kwa akili ya kawaida tu huoni Sabaya alikuwa jambazi na alikuwa anasemwa tangu akiwa mkuu wa wilaya. Sabaya alilalamikiwa sana tangu akiwa ofisini haijaanza ghafla. Aliumiza watu wengi na ushahidi hadi wa cctv camera upo mahakamani.