Unaamini ni kweli alitaka kulipua vituo vya mafuta na mikusanyiko ya watu??Very serious offenses
Haya ndio madhara ya kurun chama Cha siasa kama Serikali inayojitegemea.
Nilishawahi kuandika hapa haya madude yanaitwa sijui Redbrigade na nini sijui ni kujipa majukumu ambayo chama hakipaswi kuwa nayo.
Chama kinapaswa kueneza sera zake tu.
Madhara ya kuextend obligations ndio kama haya.