Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

Status
Not open for further replies.
Sentafu ngugai
Winga teleza shavu la kulia mwakyembe
Shavu la kushoto mgogo kabudi
Striker fosi jiwe
Bila kusahau nyanda Tulia
Bench la ufundi yupo katibu wa bunge
CAG pamoja na kupata washangiliaji kibao kutoka timu ya matamko bila vitendo
Muda si mrefu CAG Ataishiwa pumzi kabisa labda aombe poo kwa jiwe akiwasikiliza wapiga kelele bila vitendo jiwe anaweka katiba kando anapita shortcut CAG CHALIII.... anaebisha hainue kidole juu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma katiba kifungu 144
IMG_20190415_215047.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sentafu ngugai
Winga teleza shavu la kulia mwakyembe
Shavu la kushoto mgogo kabudi
Striker fosi jiwe
Bila kusahau nyanda Tulia
Bench la ufundi yupo katibu wa bunge
CAG pamoja na kupata washangiliaji kibao kutoka timu ya matamko bila vitendo
Muda si mrefu CAG Ataishiwa pumzi kabisa labda aombe poo kwa jiwe akiwasikiliza wapiga kelele bila vitendo jiwe anaweka katiba kando anapita shortcut CAG CHALIII.... anaebisha hainue kidole juu..


Sent using Jamii Forums mobile app
Ungependa iwe hivyo kwa maslahi ya Mama Tanzania? Kilangila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uelewa wangu kama Spika ni kwamba, kulingana na uzito wa kosa ulilolifanya, suala la kukuondoa kazini kwa mujibu wa masharti ya Katiba yetu halihitaji kuchunguzwa, na kwa hiyo hakuna sababu ya Rais kuteua Tume Maalum.
Huyu ndugai ni mgonjwa wa akili!
Tuseme anamlazimisha rais afanye anavyotaka yeye?

Hapana, ni dhahiri kwamba anafanya kazi aliyotumwa kuifanya.

CAG kujiuzulu siyo njia sahihi. CAG akomae tu wamfukuze kazi. Hapo ataondoka na heshima yake kamili.
 
Fupi anapenda sana ligi CAG sio saizi yako anamuona CAG sawa na Mzee au Lema. Fupi ni sawa na pilipili isiyowasha hata machoni..Dhaifu ni neno LA kikaguzi aeleweshwe,sie mwatuita wanyonge na atukasiliki nyie kuitwa dhaifu tu mwarusha ngumu.
 
Ameshindwa kumfutia ubunge lissu sasa anamtafuta CAG, jamaa anapenda sana wenzake wafukuzwe kazi
mnaacha kuangalia.chanzo cha.kosa na.kwanini limetendwa mnakimbilia ku sympasize na.CAG sasa hivi mnamuonea huruma.wakati.mwanzo mlikuwa.mnamshangilia akazidi.kuw jeuri..mmempoteza ndugu yenu..
 
CAG na Ndungai wakae wayaongee haya, wote ni watumishi wa wananchi, hizi drama zinatupotezea muda wa kujadili mambo ya muhimu kwa taifa kama vile matumizi mabaya ya Vote 20.
hahahahaa mmeyaona.yamefika.pabaya ndio.mnaanza kujifanya kutafuta suluhu. mwambieni.CAG ujanja mwingi mbele.kiza..ndio haya.saaa. asiyefunzwa na mamaye ulimwengu humfunza..ndiyo.hayo..
 
Status
Not open for further replies.
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom