Hati Chafu: Hawa Ghasia Utaua Wananchi

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Agizo la waziri Hawa Ghasia la kuzinyima fedha halmashauri zitakapopata hati chafu ni kuwaonea na kutojali maendeleo ya wananchi.

Ni vema waziri akawachukulia hatua viongozi wa halmashauri wanaosababisha ubadhilifu kuliko kusitisha ruzuku.

Sisi wananchi tunahusika vipi hadi tusipate fedha. Waziri anawaogopa viongozi wa halmashauri au ana maana gani?
 
Fedha sio za viongozi wa halmashauri ni za wananchi.Hivyo viongozi wabadhilifu wachukuliwe hatua na wananchi wapewe haki zao.
 
Huo ndo uwezo wa kiongozi mkubwa kabisa kwenye serikali ya CCM,hongereni kwa kuwaingiza mizigo katika sehemu mahususi za kimaamuzi na maamuzi yakawa ya hivi
 
Wanakurupuka kutoa maamuzi hawajali hali za wananchi wao wanaona viongozi wa wananchi ndio pekee wanaowajua sisi wameshatusahau
 
Naunga mkono hoja akomae na hawa viongozi wasiowajibika walioko kwenye halmashauri.
 
Yani huyu waziri hanaga akili hata kidogo huwa anakurupuka badala ya kuwaburuza koto kwa ufisadi viongo wa hizo halmashauri anafkiria ujinga..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom