Haters wa Jiji la Mbeya njooni hapa [Green City Home Sweet Home]

Home Sweet Home

Mbeya ni mti wenye matunda acha upigwe mawe kuna baadhi ya watu wanajikuta tu wanaichukia mbeya ukimuuliza sababu hana au utaskia hamna mall, hamna maghorofa sijui hamna nini muulize babaako anayo iyo shopping mall, au unataka sehemu ya kupigia picha, ivi wanadhani kujenga mall ni kitendo cha kufungua zipu tu na kukojoa.

Mipango ya kujenga green city mall ipo na inaenda kwa hatua iyo rock city mall yenyewe imejengwa lini kama sio juzi tu ndo imezinduliwa.

Mnatakiwa mtambue Mbeya ilijengeka kitambo sana kabla hata aya mambo ya mipango miji hayajaanza watu walikua wanajimegea maeneo mitaa ya mwanjelwa, mabatini, simike na sehemu nyingine ambazo kwa kipindi icho zilikuwa zimechangamka. Saizi hayo maeneo ndiyo yanaonekana ya ovyo na sehemu ambazo zilikuwa zinaonekana mapori mfano New Forest, Iwambi, Isyesye kuna mpangilio mzuri wa majengo kwakua ni maeneo ambayo yamepangiliwa na mipango miji

Tena kuna mwingine utakuta anaishi kwenye nyumba ya udongo mkoani kwake uko afu anaanza kuidiss mby utaskia hamna nyumba nzuri mby. Ivi upo serious kweli?

Vile vile msisahau kuwa hii ni Tanzania tunaposema Mbeya ni jiji kwa level ya nchi yetu ni jiji tena kubwa sana limeiacha mikoa mingine mbali sana sana yani saaana. Sasa wewe unaesema Mbeya sio jiji uje na vigezo vyako vyenye maelezo sahihi kwanini sio jiji.

Mbeya sio kama mikoa mingine ambayo serikali inapeleka projects kubwa kwaajili ya kuiendeleza Bali mbeya inajengwa kwa kiasi kikubwa na wakazi wake.
Mbeya hoyeee,Nina nyumba hapo japo mm sio Mwenyeji wa huko nimefanya kazi hapo jijini kupo swafi
Itezi ,uyole,Mama John oyeee
 
Mbeya ni moja ya mikoa ya hovyo saana na hapafai kuitwa jiji yaani pako kama kijij kilichochangamka
 
Part of Mbeya.
images (18).jpeg
 
Halmashauri ya jiji ya Mbeya ni machizi wote. Walichoma soko la mjini wakati hawana malengo yeyote eneo ni tupu hadi leo. Unadhani wangepata kodi kiasi gani hii miaka zaidi ya kumi. Wamechoma soko la Mwanjelwa kipindi kile limekaa miaka kibao kujengwa wafanyabiashara wamehamia sido. Wamejenga sasa hivi hamna biashara pale. Raisi fumua halmashauri ya jiji la Mbeya.
 
Halmashauri ya jiji ya Mbeya ni machizi wote. Walichoma soko la mjini wakati hawana malengo yeyote eneo ni tupu hadi leo. Unadhani wangepata kodi kiasi gani hii miaka zaidi ya kumi. Wamechoma soko la Mwanjelwa kipindi kile limekaa miaka kibao kujengwa wafanyabiashara wamehamia sido. Wamejenga sasa hivi hamna biashara pale. Raisi fumua halmashauri ya jiji la Mbeya.
Mabilioni wanayokusanya yanatoka wapi?
 
Kwa ujumla Mbeya na wilaya zake jumlisha Songwe ,maeneo yapo ovyo sijawahi ona .Vuka mpaka ng'ambo Zambia hali moja ,wananchi wake hujifanya wanajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom