vicdala55
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 1,009
- 1,638
Dah! Tukiacha unafiki, adui mkubwa wa Zanzibar ni Wahafidhina wa CCM upande wa Zanzibar wanaojiona wana nguvu ya kuamua lolote watakalo juu ya Zanzibar ilihali ukweli ni kwamba hawana nguvu hiyo wanayoiringia!
Hawa ni watu ambao bila kificho nadiriki kusema ni "Watumwa Huru" wa Wahafidhina wa CCM Bara! Hawana lolote zaidi ya kutumiwa na CCM Bara! Hawana upendo kwa Nchi yao Zanzibar bali upendo wao ni kwa CCM Dodoma! Wanaongozwa kama ng'ombe wapelekwao machinjioni!
Wanazubaishwa na vijirupia kidogo kutoka bara,wakirembeshwa na vijiyoyozi vya magari ya kifahari toka kwenye pesa za mfalme wao CCM Tanganyika!
Hawana tofauti na yuda eskarioti!
Wamelewa madaraka! Hawapo tayari kuiona Zanzibar ya watoto wao ikiinuka ilihali wao hawapati chochote kitu! Walafi!
Nina imani hata Karume huko aliko anawalaani! Haishangazi sasa kuona ngome yao taratibu inadhoofika! Wanakataliwa nyumbani (Unguja) kama walivyokataliwa huko Pemba!
Wanae nabii wa kuwasaidia kuisogeza mbele Zanzibar yao (Seif) lkn ilinenwa na wenye hekima kwamba nabii huwa hakubaliki kwao!
Wanafiki wakubwa! Wameshindwa lkn wameharamisha ushindi! Sasa hata Shetani amegoma kuwapa sababu za maana za kufuta uchaguzi!
Shetani hapendi unafiki! Hachanganyi safi na chafu! Kwake chafu ni chafu na safi ni safi!
Hawa ni watu ambao bila kificho nadiriki kusema ni "Watumwa Huru" wa Wahafidhina wa CCM Bara! Hawana lolote zaidi ya kutumiwa na CCM Bara! Hawana upendo kwa Nchi yao Zanzibar bali upendo wao ni kwa CCM Dodoma! Wanaongozwa kama ng'ombe wapelekwao machinjioni!
Wanazubaishwa na vijirupia kidogo kutoka bara,wakirembeshwa na vijiyoyozi vya magari ya kifahari toka kwenye pesa za mfalme wao CCM Tanganyika!
Hawana tofauti na yuda eskarioti!
Wamelewa madaraka! Hawapo tayari kuiona Zanzibar ya watoto wao ikiinuka ilihali wao hawapati chochote kitu! Walafi!
Nina imani hata Karume huko aliko anawalaani! Haishangazi sasa kuona ngome yao taratibu inadhoofika! Wanakataliwa nyumbani (Unguja) kama walivyokataliwa huko Pemba!
Wanae nabii wa kuwasaidia kuisogeza mbele Zanzibar yao (Seif) lkn ilinenwa na wenye hekima kwamba nabii huwa hakubaliki kwao!
Wanafiki wakubwa! Wameshindwa lkn wameharamisha ushindi! Sasa hata Shetani amegoma kuwapa sababu za maana za kufuta uchaguzi!
Shetani hapendi unafiki! Hachanganyi safi na chafu! Kwake chafu ni chafu na safi ni safi!