Hatari ya ushoga kwa watoto wa Tanzania; Serikali itunge Sheria kuzuia vikaragosi vya Superman

Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Tunaomba hizi Superman Series kwenye ving'amuzi vya Tanzania ziondolewe. Azam TV tunaomba muindoe hii kitu. Sisi wateja wenu hatuzihitaji.
 
Hawa pimbi ( western countries) wanafanya hv ili watu waone ushoga ni kitu cha kawaida na sasa wameona wateketeze kizazi Chetu Kwa kuweka hayo Mambo Hadi Kwa watoto ili wakue na mentality hiohio ya ushoga
 
Ndio Jon Kent ni mtoto wa Clark na Lois lakini kwenye comiscs kuna version nyingi sana kuhusu character yake. Au sometimes watengenezaji wa Movies wanaweza kwenda kinyume na original story kutoka ndani ya comics kwa vile wapendavyo.
Binafsi sifahamu sana kuhusu Comics za DC kama nizijuavyo Comics kutoka Marvel.

Nitatoa mfano kidogo...
Wanada Maximoff(Scarlett Witch) na Peter Maximoff (Quicksilver) origin kutoka kwenye comics ni watoto wa Erik Lansherr(Magneto) ila huku kwenye Muvi wanaonyesha kwamba hawana uhusiano na Magneto. They're just a random kids, Lakini ukiangalia muvi za XMen wamedokeza kidoho kwamba Quicksilver ni myoto wa Magneto.

Hivyo Screenwriter wanaweza kutengeneza stori yao tu bila kujali kitabu kinazungumzia nini kuhusu character fulani
Eg2. Kwenye Novel ya Game of Thrones Yara anaitwa Aisha ila kwenye series kaitwa Yara.

Wanda and Peter (From Avengers)
View attachment 1973115
Young and old Magneto (From X Men)
View attachment 1973119
Thank you Da'Vinci.
 
Itafika kipindi kila katuni, game, muvi, kitakuwa na ujinga huu, Yaani hawa washenzi wanaharibu sana
dawa ni kuwa na komiki na game zetu wenyewe ingawa serikali na watengenezaji (publishers) kwa pamoja walishiriki kuua aina hii ya sanaa nchini kwa serikali kuyafungia magazeti na hata baadhi ya mawaziri wa nyakati za mkapa na kikwete kuyapa majina mabaya huku watengenezaji wake baadhi walipotoka na kuanza kuweka maudhui yasiyofaa ya ngono na hivyo kutoa maana ya gazeti la kusoma familia na kuwa kama magazeti ama majarida ya porn kwa serikali ilitakiwa kutoa muongozo ili kama kuna maudhui ya kikubwa basi yatafutiwe namna ya kuuzwa pia kutengeneza mamlaka mfano wa comic code authority ya USA ili kuwa na udhibiti wa ubora huku watengenazaji kujua wanacho kitayarisha mlengwa ni nani hasa badala ya kuwa zinauzwa ovyo kufikia hata wazazi kutotaka kuyaona majarida hayo majumbani mwao kiasikcha kushusha hata mauzo na kupelekea magazeti na majarida mengi kufa..sanaa hii naamini kabisa inge ibeba hata bongo movie kama ilivyo kwa marekani na hata Japan kwa sanaa yao ya manga
 
Mi Corazon Setsuko
FB_IMG_16338179965808112.jpg
 
Mie naona saivi mtu akasoma elimu Yao bado anataka kuwa criticise.
Saivi wanahimiza kuchanjwa Ila hawako tayari kwa side effects za chanjo.
Hawa ni watalaamu waafrika wanahimiza sie tuchanjwe Ila hawajui chemistry, compounds and molecular composition ya chanjo
Wasomi wetu ni cowards sana....
 
Sahau Tozo, sahau machinga, sahau COVID-19View attachment 1972273Hatari mpya inayowakabili watoto na wajukuu wetu ni Superman mpya ambaye ni shoga.

Ushaur;
Serikali yetu ingetunga Sheria mathubuti za kuzuia vikaragosi hivyo visionyeshwe wala kufanya mijadala kama hiyo.
Maana wazung wanaweza sema ni haki ila ni kwao si tatizo kama ilivyo bangi na mihadaratI kwenye baadhi ya mataifa duniani
Hii inawahusu hata watoto wetu huku buza?
 
Back
Top Bottom