Habari wakuu, niende moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Kunawakati huwa najiuliza tu, watu wenye magari kwenye misafara Kuna haja gani ya kukimbiza magari namna hiyo? Najiuliza hata mwenye nchi anakimbizwa zaidi ya mwizi, hii nchi ni yake Sasa kwanini kukimbizana mpaka najisemeaga tu kufeni ili wengine wajifunze
Ni aibu kubwa kama nchi, huko mabarabarani wenye serikali yao ndo wanaongoza kwa kuvunja sheria za barabarani
Unaweza uliza ukajibiwa kwasababu za kiusalama, hizo sababu za kiusalama ndo Hadi roho za watu zichomoke jaman?
Huwa nasikitika sana! Kwann magari yanakimbia kiasi hiko? Na uwezo wa barabara zetu unajulikana!
Kero ingine ya misafara,
wasafiri wengine kwenye mabasi, magari binafsi wanasimamishwa kupisha msafara, ambao hata wanakokimbilia hakujulikani na hata kinachofanyika hakionekani, Yani vurugu tu saa nzima watu wako barabarani oooh msafara wa waziri, Mara Rais Mara sijui mkuu wa mkoa, mjue tu kwa speed hizo za magari ipo siku nasema ipo siku hii nchi itaingia kwenye janga kubwa la kihistoria.
Serikali tunaomba mjitafakari km ni sahihi kukimbiza magari yenu kwa speed Ile kubwa na yakutisha lakini pia kusimamisha wasafiri wengine zaidi ya saa nzima kwa kisingizio Cha msafara
Mnatukera Sana sisi wananchi
Kunawakati huwa najiuliza tu, watu wenye magari kwenye misafara Kuna haja gani ya kukimbiza magari namna hiyo? Najiuliza hata mwenye nchi anakimbizwa zaidi ya mwizi, hii nchi ni yake Sasa kwanini kukimbizana mpaka najisemeaga tu kufeni ili wengine wajifunze
Ni aibu kubwa kama nchi, huko mabarabarani wenye serikali yao ndo wanaongoza kwa kuvunja sheria za barabarani
Unaweza uliza ukajibiwa kwasababu za kiusalama, hizo sababu za kiusalama ndo Hadi roho za watu zichomoke jaman?
Huwa nasikitika sana! Kwann magari yanakimbia kiasi hiko? Na uwezo wa barabara zetu unajulikana!
Kero ingine ya misafara,
wasafiri wengine kwenye mabasi, magari binafsi wanasimamishwa kupisha msafara, ambao hata wanakokimbilia hakujulikani na hata kinachofanyika hakionekani, Yani vurugu tu saa nzima watu wako barabarani oooh msafara wa waziri, Mara Rais Mara sijui mkuu wa mkoa, mjue tu kwa speed hizo za magari ipo siku nasema ipo siku hii nchi itaingia kwenye janga kubwa la kihistoria.
Serikali tunaomba mjitafakari km ni sahihi kukimbiza magari yenu kwa speed Ile kubwa na yakutisha lakini pia kusimamisha wasafiri wengine zaidi ya saa nzima kwa kisingizio Cha msafara
Mnatukera Sana sisi wananchi