shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,303
Hiyo nouma sana
Kiongozi hapa umeongeza chumvi, hata kama inabeba excess sio zaidi ya 15 kwa Noah tena watu wazima.Nenda bonde la Mwakaleli, ukitokea Katumba(Tukuyu) ndio utagundua jinsi gani watu wanapenda pesa kuliko utu...
Noah inabeba watu zaidi ya 30..
Walikaa kama mapera?
Huruma yake iilipitiliza kiwango, hii yote ni kwaajili ya kuwasaidia wawahi shule na kuepukana na manyanyaso ya makondakta au ambao hawana nauli kabisa.
Apewe tu onyo na angalizo maana sidhani kama aliwalipisha.
Walikaa kama mapera?
Huruma yake iilipitiliza kiwango, hii yote ni kwaajili ya kuwasaidia wawahi shule na kuepukana na manyanyaso ya makondakta au ambao hawana nauli kabisa.
Apewe tu onyo na angalizo maana sidhani kama aliwalipisha.
Sijui, labda 38/2=18, maana hawa ni watoto!!!!!! hatari sana.Ni 36 plus driver. Hakika nothing is impossible. Noah ya watu 11 kubeba watu wote hao
Hiyo gari nadhani ni school bus...Walikaa kama mapera?
Huruma yake iilipitiliza kiwango, hii yote ni kwaajili ya kuwasaidia wawahi shule na kuepukana na manyanyaso ya makondakta au ambao hawana nauli kabisa.
Apewe tu onyo na angalizo maana sidhani kama aliwalipisha.
Wanafunzi hao ni wa darasa la pili kutoka shule ya Diamond, Olimpio, Kisutu Maktaba na Bunge gari hiyo imekamatiwa eneo la round about Gerezani wakielekea Vijibweni Kigamboni.
si angefanya safari mbili.Nope..huyu ana tenda ya kubeba wanafunzi yani km school bus..
Wanajitetea eti wana noah mbili moja iliharibika /sijui kukamatwa so wakalazimika kuwabeba wanafunzi wao wotebkwa gari moja...unfair
Umesoma habari yote au ndio kubwabwaja. ?Walikaa kama mapera?
Huruma yake iilipitiliza kiwango, hii yote ni kwaajili ya kuwasaidia wawahi shule na kuepukana na manyanyaso ya makondakta au ambao hawana nauli kabisa.
Apewe tu onyo na angalizo maana sidhani kama aliwalipisha.
Walikaa kama mapera?
Huruma yake iilipitiliza kiwango, hii yote ni kwaajili ya kuwasaidia wawahi shule na kuepukana na manyanyaso ya makondakta au ambao hawana nauli kabisa.
Apewe tu onyo na angalizo maana sidhani kama aliwalipisha.
Siyo sababu yake hiyo.
Kuna shule nyingi za DSM huwa wanaenda Kigamboni kuwapeleka watoto kutalili katika Daraja la Nyerere. Na hao walikuwa na nia hiyo lakini utakuta Walimu wamekusanya pesa ya kutosha Coaster hata mbili kwa safari hiyo sasa kwa urafi na hali ya maisha kwa ngumu wakaona wakodishe Noah kwa idadi hiyo ya watu.
Mbona kuna Sare mbili hapo mkuu?