kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Taarifa iliyotolewa leo na magazeti, inaeleza kuwa kuna maofisa wa polisi wanashirikiana na matajiri wakubwa wahalifu kuingiza mizingo ya hatari kupitia njia za panya, maeneo ya vukwe za bahari yetu ya hindi, pia wameleza kuwa kazi inafanyika usiku wa manane kwa ulinzi wa polisi. My take: je jeshi letu la polisi limekuwa genge la wahalifu wa nchi hii?