rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Mwanakijiji
Kipimo sahihi ni watanzania kuelemishwa kuachana na mambo ya ngono tu; elimu ya afya itiliwe mkazo, nchi nyingi duniani zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza maambukizo kwa kutumia afya ya jamii; na viongozi wamekuwa mstari wa mbele kwenye vita hivyo.
Chama
Gongo la Mboto DSM
Nafikiri mwanakijiji anazungumzia vifaa au machine za kipima hiv na malaria