Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 612
Kuna habari kwamba Mkuu wa Operesheni Maalumu wa Polisi, venance Tossi na maofisa wanne waandamizi wa polisi Wako Mererani katika mkutano wa Zitto. haijafahamika hasa kwanini nguvu kubwa imepelekwa huko. Ofisa mmoja mstaafu wa polisi alisema ni lazima Zitto awe mwangalifu kwani upo uwezekano wa kuandaa ama kuchochea vurugu ili lolote liweze kutokea. Zitto hakwenda huko kuanzisha vurugu na hajawahi kufanya hivyo. Kwa mujibu wa watu walioko Arusha, mada kuu itakua, "CCM loosing touch with Wananchi. CCM from a movement to an electoral machine."