Kasura kake kwa mbali kama mzee Stephano WasiraHUYO JAMAA INAONESHA ANAPENDA UBOSSI SANA
HAHAHA MTANI BWANA, NGOJA UKAMATWEKasura kake kwa mbali kama mzee Stephano Wasira
YEAH AMEONA LABDA KOTI LINA UMUHIMU SANANaamini asilimia 80% haiwezekani gari linazama halafu anahangaika na koti
tehe tehe teheHAHAHA MTANI BWANA, NGOJA UKAMATWE
SITAKUJA KUKUTETEAtehe tehe tehe
Mzee ana moyo wa kiume huyo...safi kabisa,Aisee binadamu tuko tofauti sana. Kwangu kwa hali kama hii ya hatari hata koti nisingekumbuka muda wa kuwa nimeshavaa shati.View attachment 747270
Asante chiefMkuu avatar yako tu. Lazima useme hayo, hongera kwa kumpa moyo wa ujasiri..!
Anajiongezea uzito badala ya kupunguzaHatari sana aiseeee