chwechinyong
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 223
- 105
Kwanza kabisa napenda kukupa pole kwa niaba ya huyo dada/mama, kwa kweli ni jambo linaloumiza sana kuja kujua jambo ambalo ulikuwa hudhanii wala kufikiria kwa umpendae na uliyemuamini kuwa mwenza wako kulifanya. Its a hurting truth.
Ndoa hujengwa kwa misingi ifuatayo:
1: Upendo baina ya mume na mke, pamoja na ndugu waliowazunguka (wa mke na mume) na kwa marafiki wazuri wa familia
2: Uaminifu: Hili linawahusu wanandoa kuwa waaminifu kwa wenzi wao
3: Ushirikiano: Mashirkiano yanatakiwa yawepo baina ya mke na mume. Tatizo la mmoja ni tatizo la mwengine. Ushirikiano katika kujenga familia bora na pia kujenga good future of the family pia na katika nyanja zote za maisha (shida na raha).
4: Uvumilivu: Binaadamu wote hatupo sawa na tabia pia hatulingani. Kuna tabia ambazo zinavumilika, hivyo kwa wanandoa ni muhimu kuwa na uvumilivu katika ndoa yao
5: Heshima: Kuheshimiana baina ya wanandoa ni jambo muhimu sana. Self-respect na na kulinda respect ya mwanandoa mwenzako ni jambo lisilopingika katika ndoa, ni lazima liwepo.
Yakipatikana hayo yote katika ndoa, basi kwa asilimia 100 ndoa hiyo itakuwa ni ya amani na pia italeta furaha kwa wanandoa wote.
Back to the topic: kwa tukio lililomkuta huyo dada ni wazi vipengele 1, 2 , 4 na 5 (sina hakika na kipengele namba 3) vimepungua au vimeshaondoka kabisa katika moyo na akili yake na hivyo basi kuondoa furaha ya huyo dada kupata amani na kufurahia ndoa yake, vitu ambavyo ni muhimu sana kwa ustawi wa afya yake na ufanisi wa mambo yake mengine.
Akisema afumbe macho arudi kwa jamaa, i am sure mzimu wa kumkuta mmewe analiwa tigo utaendele kumuandama, mume awe anaendelea na tabia hiyo au ameacha (kitu ambacho nahisi ni kigumu). Asipomkuta tena akiliwa tigo home, basi atakuwa na wasiwasi kwamba jamaa katafuta uwanja mwengine wa kwenda kuliwa tigo.
Pia mzimu wa jamii ambayo imeshuhudia hayo mambo na kujua kilichoendelea wakiwemo wakweze na mama yake pia vitaendelea kumuandama. Hivyo amani na furaha ya kweli kwake haitakuwepo daima.
My take: Ndoa ni mkataba wa hiyari baina ya wanandoa na inapaswa kuleta furaha na amani kwa wahusika. Inapotokea ndoa ikawa ni chungu kwa mmoja wapo au wanandoa wote na haswa kwa kosa kama hili, sioni haja ya kuendelea kung'ang'aniza kuwepo katika ndoa hiyo. Hapo jamaa hakujiheshimu wala hakujali heshima na utu wa mkewe. kuendelea kuwepo katika ndoa hiyo ni sawa na huyo mke kujivunjia heshima yake ambayo bado mpaka sasa anayo.
PS: Huu ni ushauri tu, maamuzi ya mwisho yapo mikononi mwake huyo dada.
Ndoa hujengwa kwa misingi ifuatayo:
1: Upendo baina ya mume na mke, pamoja na ndugu waliowazunguka (wa mke na mume) na kwa marafiki wazuri wa familia
2: Uaminifu: Hili linawahusu wanandoa kuwa waaminifu kwa wenzi wao
3: Ushirikiano: Mashirkiano yanatakiwa yawepo baina ya mke na mume. Tatizo la mmoja ni tatizo la mwengine. Ushirikiano katika kujenga familia bora na pia kujenga good future of the family pia na katika nyanja zote za maisha (shida na raha).
4: Uvumilivu: Binaadamu wote hatupo sawa na tabia pia hatulingani. Kuna tabia ambazo zinavumilika, hivyo kwa wanandoa ni muhimu kuwa na uvumilivu katika ndoa yao
5: Heshima: Kuheshimiana baina ya wanandoa ni jambo muhimu sana. Self-respect na na kulinda respect ya mwanandoa mwenzako ni jambo lisilopingika katika ndoa, ni lazima liwepo.
Yakipatikana hayo yote katika ndoa, basi kwa asilimia 100 ndoa hiyo itakuwa ni ya amani na pia italeta furaha kwa wanandoa wote.
Back to the topic: kwa tukio lililomkuta huyo dada ni wazi vipengele 1, 2 , 4 na 5 (sina hakika na kipengele namba 3) vimepungua au vimeshaondoka kabisa katika moyo na akili yake na hivyo basi kuondoa furaha ya huyo dada kupata amani na kufurahia ndoa yake, vitu ambavyo ni muhimu sana kwa ustawi wa afya yake na ufanisi wa mambo yake mengine.
Akisema afumbe macho arudi kwa jamaa, i am sure mzimu wa kumkuta mmewe analiwa tigo utaendele kumuandama, mume awe anaendelea na tabia hiyo au ameacha (kitu ambacho nahisi ni kigumu). Asipomkuta tena akiliwa tigo home, basi atakuwa na wasiwasi kwamba jamaa katafuta uwanja mwengine wa kwenda kuliwa tigo.
Pia mzimu wa jamii ambayo imeshuhudia hayo mambo na kujua kilichoendelea wakiwemo wakweze na mama yake pia vitaendelea kumuandama. Hivyo amani na furaha ya kweli kwake haitakuwepo daima.
My take: Ndoa ni mkataba wa hiyari baina ya wanandoa na inapaswa kuleta furaha na amani kwa wahusika. Inapotokea ndoa ikawa ni chungu kwa mmoja wapo au wanandoa wote na haswa kwa kosa kama hili, sioni haja ya kuendelea kung'ang'aniza kuwepo katika ndoa hiyo. Hapo jamaa hakujiheshimu wala hakujali heshima na utu wa mkewe. kuendelea kuwepo katika ndoa hiyo ni sawa na huyo mke kujivunjia heshima yake ambayo bado mpaka sasa anayo.
PS: Huu ni ushauri tu, maamuzi ya mwisho yapo mikononi mwake huyo dada.