Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,712
Mradi wa magari ya abiria maarufu Mwendokasi umeleta unafuu mkubwa kwa kwa watumiaji wa public transport. Uhakika wa kuwahi kufika destination umeongeza tija kubwa kwa shughuli za kiuchumi.
Ingawa bado kuna tatizo baya sana la ufinyu wa magari wakati wa peak time yaani asubuhi na jioni watu wanapoenda na kurudi makazini magari mengi yanalazimishwa kupaki au gari inaweza kutoka Kimara kwenda kupaki Jangwani bila hata kuchukua abiria wakati pale kituoni.
Turudi kwenye mada ya uzi huu. Hapo tarehe 17/08/2020 majira ya jioni eneo la Utumishi kulitokea ajali ya kutisha iliyokatisha uhai wa mwananchi mmoja. Eneo hilo hilo mwaka huu watu wameshuhudia ajali iliyosababisha umauti kwa mwanafunzi mmoja na watu wengine wawili. Ajali hizo zote zilitokana na mabasi ya Mwendokasi ambapo eneo hilo kuna alama ya wavuka kwa miguu (zebra crossing).
Sehemu mbalimbali jijini ajali kadhaa zimetokea ambazo zote wahanga ni watembea kwa miguu.
Hii hatari inayotokana na kasi ya magari haya inazidi kuongezeka huku wahanga
Wakiwa ni watembea kwa miguu.
Mamlaka husika iangalie namna ya kudhibiti mwenso au kuajiri madereva watakaofuata sheria za barabarani
marehemu Ringo mkazi wa Kigamboni ambaye aligongwa na mwendokasi na kufariki tar 17/08/2020
Ingawa bado kuna tatizo baya sana la ufinyu wa magari wakati wa peak time yaani asubuhi na jioni watu wanapoenda na kurudi makazini magari mengi yanalazimishwa kupaki au gari inaweza kutoka Kimara kwenda kupaki Jangwani bila hata kuchukua abiria wakati pale kituoni.
Turudi kwenye mada ya uzi huu. Hapo tarehe 17/08/2020 majira ya jioni eneo la Utumishi kulitokea ajali ya kutisha iliyokatisha uhai wa mwananchi mmoja. Eneo hilo hilo mwaka huu watu wameshuhudia ajali iliyosababisha umauti kwa mwanafunzi mmoja na watu wengine wawili. Ajali hizo zote zilitokana na mabasi ya Mwendokasi ambapo eneo hilo kuna alama ya wavuka kwa miguu (zebra crossing).
Sehemu mbalimbali jijini ajali kadhaa zimetokea ambazo zote wahanga ni watembea kwa miguu.
Hii hatari inayotokana na kasi ya magari haya inazidi kuongezeka huku wahanga
Wakiwa ni watembea kwa miguu.
Mamlaka husika iangalie namna ya kudhibiti mwenso au kuajiri madereva watakaofuata sheria za barabarani
marehemu Ringo mkazi wa Kigamboni ambaye aligongwa na mwendokasi na kufariki tar 17/08/2020