nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
sasa wazee wa Illuminati,Deep state,wazee wa new world order wamechachamaa kwenye mambo mengi kama ushoga,abortion washamaliza kuna hii agenda yao ya kuanza kupunguza population
na hawa jamaa DEEP STATE hawatanii aise ,sasa huu moto wa california watu ndo wamestuka sasa hivi kwamba haukuwa wa kawaida
nitaweka picha hapa chini,kilichostua sana ni ile footage ya jana iliyoonyesha watu wakijaribu kuescape kwenye gari likalipuka
Huu moto umesababishwa na kitu wanaita energy weapons sio mara ya kwanza kwani hata tsunami hawa jamaa wana uwezo wa ku trigger,wali trigger tetemeko la haiti na hata lile la iran in 1978 tena linapiga hadi magnitude 7.2
Moto ulianzishwa maeneo yasiyokuwa na watu wengi ili wakifika kwenye makzi ya watu tena huko wamejaa mastaa wa Hollywood watu wapate nafasi ya kukimbia probably wasione na ushahidi ila kuna picha zimetoka UTA JUDGE MWENYEWE
Ila hawa wazungu ni nyoko sana soon vinchi maskini vitapigwa na hizi weapons walahi khaaaaaaa
Moto natural ni hii picha ya,masizi au weusi wa kuungua unabaki lakini hizo za california zote hakuna kitu kama hicho
zilizobaki judge mwenyewe
na hawa jamaa DEEP STATE hawatanii aise ,sasa huu moto wa california watu ndo wamestuka sasa hivi kwamba haukuwa wa kawaida
nitaweka picha hapa chini,kilichostua sana ni ile footage ya jana iliyoonyesha watu wakijaribu kuescape kwenye gari likalipuka
Huu moto umesababishwa na kitu wanaita energy weapons sio mara ya kwanza kwani hata tsunami hawa jamaa wana uwezo wa ku trigger,wali trigger tetemeko la haiti na hata lile la iran in 1978 tena linapiga hadi magnitude 7.2
Moto ulianzishwa maeneo yasiyokuwa na watu wengi ili wakifika kwenye makzi ya watu tena huko wamejaa mastaa wa Hollywood watu wapate nafasi ya kukimbia probably wasione na ushahidi ila kuna picha zimetoka UTA JUDGE MWENYEWE
Ila hawa wazungu ni nyoko sana soon vinchi maskini vitapigwa na hizi weapons walahi khaaaaaaa
Moto natural ni hii picha ya,masizi au weusi wa kuungua unabaki lakini hizo za california zote hakuna kitu kama hicho