B.O.G
Senior Member
- Feb 17, 2011
- 144
- 40
Kivuko cha fery huwa kina beba waenda kwa miguu, baisikeli, magari na kadhalika.chakushangaza ni kwamba unakuta watu wamejazana pamoja na magari na wakati huohuo waendao kwa magari walio wengi wakiisha ingiza magari yao kwenye chombo hawazimi engine za magari yao, wao ni kujifungia humo kwenye magari yao yenye full Ac maana wana aleji na harufu ya soko la samaki,huku sisi akina kabwlela tukibugia moshi wa magari yao. Hivyo naomba wewe unayeingiza gari lako kwenye ferry ulizime mara moja na wahusika wajaribu kuliangalia hilo.