Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna ulimbukeni mkubwa wa baadhi ya watu kuendesha umbali mrefu na familia zao kwenye gari ndogo kwenda kusalimia ndugu , jamaa na marafiki huko Mikoani..
Barabarani ajali ni nyingi sana za magari madogo Vs malori au mabasi.. kimsingi gari ndogo zinapigwa sana.
Mtu amenunua gari ndogo mwisho wa mwaka, anaendesha umbali mrefu akiwa amebeba familia yake kwenda Mkoani wakati leseni yenyewe ni ya kununua na pia hajawahi kusafiri (alone) kwa umbali mrefu akiwa anaendesha.
Familia zinapotea, gari zinaharibika, hasara juu ya hasara!
Ni bora ukodi dereva akuendeshe then mkifika anakuachia gari yako, siku ya kurudi unamuita tena. Au unaogopa Kijijini utaonekana hujui gari?
Tuache ushamba, tutamaliza familia zetu. Tusiwe malimbukeni kwa vitu vidogo.
Barabarani ajali ni nyingi sana za magari madogo Vs malori au mabasi.. kimsingi gari ndogo zinapigwa sana.
Mtu amenunua gari ndogo mwisho wa mwaka, anaendesha umbali mrefu akiwa amebeba familia yake kwenda Mkoani wakati leseni yenyewe ni ya kununua na pia hajawahi kusafiri (alone) kwa umbali mrefu akiwa anaendesha.
Familia zinapotea, gari zinaharibika, hasara juu ya hasara!
Ni bora ukodi dereva akuendeshe then mkifika anakuachia gari yako, siku ya kurudi unamuita tena. Au unaogopa Kijijini utaonekana hujui gari?
Tuache ushamba, tutamaliza familia zetu. Tusiwe malimbukeni kwa vitu vidogo.