JAPUONY
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 383
- 186
Jamani nimesoma kwa masikitiko makubwa taarifa hii ya kuwa China wanatengeneza madawa na kuyasafirisha nje ya nchi yao kutokana na maiti za Watoto. Dawa kama hizo zimekamatwa Korea na kuna hatari zikaingia katika nchi yetu. Ushauri wangu, tuwe macho wa TZ na madawa haya ya Kichina. TBS sina uhakika kama wanaweza kugundua vitu kama hivi manake wamekalia kuiba fedha za Wananchi badala ya kushughulikia masuala ya msingi. Kwa taarifa zaidi gonga hapa South Korea seizes capsules containing powdered flesh of dead babies | The Sideshow - Yahoo! News