Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Pole na kazi.
Kama developer wako wa app siyo mwenye hii namba +919780110865 basi mshukuru Mungu.
kama imepita kwa huyu dada na ina fb ads basi itafungiwa Interstitial ads kwanza baadaye itapigwa jumla na fb.
Wanaojiita Tz developers wengi wanatumia huyu dada,
Baadaye nitatoa sababu.
Kama developer wako wa app siyo mwenye hii namba +919780110865 basi mshukuru Mungu.
kama imepita kwa huyu dada na ina fb ads basi itafungiwa Interstitial ads kwanza baadaye itapigwa jumla na fb.
Wanaojiita Tz developers wengi wanatumia huyu dada,
Baadaye nitatoa sababu.