SuperHb
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 897
- 697
Habari zenu wanajf..kuna mambo yananitatiza kidogo.
Kuna Binti niko nae kwenye Mahusiano takribani mwezi mmoja na nusu hivi..kiukweli nampenda sana,,,sina hata mpango wa kumsaliti. Huyu binti anaishi mbali kidogo na wazazi wake ana group la Mabinti wengine anaoishi nao....wanapanga kwa kushare chumba,
MWAZO WA SINTOFAHAMU:
katikati ya Mahusiano yetu,binti alisimamishwa kazi mpaka muda huu ninaoongea, anadai mimi ndo chanzo maana kuna muda alikuwa anatumia Simu ya Boss wake kuchati namimi, kwahiyo anadai Boss aliona Chatting zetu akaamua kumfukuza kisa ni kwamba,eti ameendekeza mapenzi kuliko kazi.
Mimi baada ya kuona hali hiyo nikaamua kumwambia kwamba niko tiyari nimuoe kwa maana ya kuishi nae kama mke, afu baada ya Siku kadhaa niende kwao kwa Wazazi wake nitoe taarifa ya kwamba binti nataka nimtolee mahali ya kumuoa.
Binti ninapomwambia anasema hawezi kuishi na mimi mpaka niende kwa Wazazi kwanza
WASIWASI WANGU
(Hofu yangu, kwa sasa binti hana kazi yoyote, anapoishi kodi, maji, umeme, chakula anahitajika alipie, pia Wanaishi Group la Mabinti watatu wenzio wana kazi zao. Je, wataweza kumtunza mpaka lini? Si itafika hatua watamchoka?)
Kwa upande wangu sina uwezo wa kumlipia akiwa anaishi peke yake huko mimi nilitaka Aje aishi na mimi mahitaji yote atayapata akiwa kwangu kama mke, afu baadae mimi niende kujitambulisha kwao ila yeye Binti hataki hilo wazo langu anataka tuendelee kuwa kama wapenzi, ila swala kuishi namimi hataki mpaka nijitambulishe kwao.
Sasa ndugu zangu kweli mnaona kuna dalili nzuri za mahusiano yetu?
NB: Binti alishawahi nidokeza kwamba Wenzio anaoishi nao wanaenda makrabu usiku yeye wanamuacha ndani, na anasema yeye wala hajihusishi nao japo wanaishi wote.
Nisamehe kwa mpangilio mbaya wa ujumbe ASANTENI
Kuna Binti niko nae kwenye Mahusiano takribani mwezi mmoja na nusu hivi..kiukweli nampenda sana,,,sina hata mpango wa kumsaliti. Huyu binti anaishi mbali kidogo na wazazi wake ana group la Mabinti wengine anaoishi nao....wanapanga kwa kushare chumba,
MWAZO WA SINTOFAHAMU:
katikati ya Mahusiano yetu,binti alisimamishwa kazi mpaka muda huu ninaoongea, anadai mimi ndo chanzo maana kuna muda alikuwa anatumia Simu ya Boss wake kuchati namimi, kwahiyo anadai Boss aliona Chatting zetu akaamua kumfukuza kisa ni kwamba,eti ameendekeza mapenzi kuliko kazi.
Mimi baada ya kuona hali hiyo nikaamua kumwambia kwamba niko tiyari nimuoe kwa maana ya kuishi nae kama mke, afu baada ya Siku kadhaa niende kwao kwa Wazazi wake nitoe taarifa ya kwamba binti nataka nimtolee mahali ya kumuoa.
Binti ninapomwambia anasema hawezi kuishi na mimi mpaka niende kwa Wazazi kwanza
WASIWASI WANGU
(Hofu yangu, kwa sasa binti hana kazi yoyote, anapoishi kodi, maji, umeme, chakula anahitajika alipie, pia Wanaishi Group la Mabinti watatu wenzio wana kazi zao. Je, wataweza kumtunza mpaka lini? Si itafika hatua watamchoka?)
Kwa upande wangu sina uwezo wa kumlipia akiwa anaishi peke yake huko mimi nilitaka Aje aishi na mimi mahitaji yote atayapata akiwa kwangu kama mke, afu baadae mimi niende kujitambulisha kwao ila yeye Binti hataki hilo wazo langu anataka tuendelee kuwa kama wapenzi, ila swala kuishi namimi hataki mpaka nijitambulishe kwao.
Sasa ndugu zangu kweli mnaona kuna dalili nzuri za mahusiano yetu?
NB: Binti alishawahi nidokeza kwamba Wenzio anaoishi nao wanaenda makrabu usiku yeye wanamuacha ndani, na anasema yeye wala hajihusishi nao japo wanaishi wote.
Nisamehe kwa mpangilio mbaya wa ujumbe ASANTENI