Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*******************************************
Mimi ni kijana ambaye nimetokea kumpenda sana binti fulani aishiye Dar. Tumefahamiana kwa muda usiopungua miaka miwili sasa.
Tumekuwa ni marafiki wazuri kiasi cha kutembeleana mara kwa mara! Kwakuwa umri wangu nao umeenda, niliamua kumweleza 'rafiki' yangu huyo kwamba nimevutiwa naye na ningependa kuunganishwa naye tuwe mke na mume!
Binti aliniambia nimpe muda kwani suala la ndoa sio la kulifanyia uamuzi wa papara!
Siku ya siku alinipigia simu kwamba anaomba twende pamoja kupata chakula cha usiku (dinner).
Nilikubali na tulienda! Baada ya chakula aliniambia kwamba yuko teyari kunipa jibu la ombi la ndoa!
Basi nilipatwa na mshituko kwa maneno niliyoyasikia! Aliniambia kwamba 'yuko teyari kuolewa na mimi endapo tu nitakuwa teyari kum-mega tigo'...
Niliumia sana moyoni kwani binti huyu ninampenda sana. Nilimuuliza kwanini anataka 'hiyo kitu' lakini alisema hahitaji kujibu maswali kwani hayuko polisi!
Nilichukua uamuzi wa kumwambia kwamba mimi 'siko teyari' kufanya tendo hilo 'najisi'...
Kwahasira binti huyo aliinuka na kuondoka! Sikuweza kumkimbilia kwani ilibidi nilipie 'bill' kaunta na ndipo nilipotoka nnje sikumkuta!
Ni wiki 3 sasa zimepita hataki kuongea na mimi na hata nikimpigia simu hapokei! Kwakifupi nimechanganyikiwa!
Ndugu wanajamii, nifanyeje? Inawezekana huyu binti ananijaribu? Je, nikubali kum-mega tigo?
*******************************************
Mimi ni kijana ambaye nimetokea kumpenda sana binti fulani aishiye Dar. Tumefahamiana kwa muda usiopungua miaka miwili sasa.
Tumekuwa ni marafiki wazuri kiasi cha kutembeleana mara kwa mara! Kwakuwa umri wangu nao umeenda, niliamua kumweleza 'rafiki' yangu huyo kwamba nimevutiwa naye na ningependa kuunganishwa naye tuwe mke na mume!
Binti aliniambia nimpe muda kwani suala la ndoa sio la kulifanyia uamuzi wa papara!
Siku ya siku alinipigia simu kwamba anaomba twende pamoja kupata chakula cha usiku (dinner).
Nilikubali na tulienda! Baada ya chakula aliniambia kwamba yuko teyari kunipa jibu la ombi la ndoa!
Basi nilipatwa na mshituko kwa maneno niliyoyasikia! Aliniambia kwamba 'yuko teyari kuolewa na mimi endapo tu nitakuwa teyari kum-mega tigo'...
Niliumia sana moyoni kwani binti huyu ninampenda sana. Nilimuuliza kwanini anataka 'hiyo kitu' lakini alisema hahitaji kujibu maswali kwani hayuko polisi!
Nilichukua uamuzi wa kumwambia kwamba mimi 'siko teyari' kufanya tendo hilo 'najisi'...
Kwahasira binti huyo aliinuka na kuondoka! Sikuweza kumkimbilia kwani ilibidi nilipie 'bill' kaunta na ndipo nilipotoka nnje sikumkuta!
Ni wiki 3 sasa zimepita hataki kuongea na mimi na hata nikimpigia simu hapokei! Kwakifupi nimechanganyikiwa!
Ndugu wanajamii, nifanyeje? Inawezekana huyu binti ananijaribu? Je, nikubali kum-mega tigo?