Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
[B]habarini za Ijumapili?
nimekua na hamu ya kuwajua wana chit chat kwa sura na majina yao halisi,hii ni baada ya mimi mwenyewe kuwa wazi kwa ID na hata kwa Avatar.Lakini niseme tu safari yangu hii imeenza vizuri mara baada ya kuanza kwa kukutana na mwana dada mlimbwende na mashuhuri hapa Jf;Nita kuwa nafanya kama ifutavyo,ninamjua menber kwa majina yake full alafu nakuja hapa naelezea majina yake halisi halafu wewe mwana chiti chachat utanitajia ID yake zikipita post 15 natoa jibu na kama kutakua na mtu aliye shinda anazawadiwa zawadi ya vocha ya shilingi elfu 5.
mshindi atakuwa na sifa zifuatazo
Kwa leo naanza na mwanadada,mlimbwende na mashuhuli hapa Jf.Detail zake ni hizi zifuatazo:-
NB:
Vocha itatumwa number kwa PM
nimekua na hamu ya kuwajua wana chit chat kwa sura na majina yao halisi,hii ni baada ya mimi mwenyewe kuwa wazi kwa ID na hata kwa Avatar.Lakini niseme tu safari yangu hii imeenza vizuri mara baada ya kuanza kwa kukutana na mwana dada mlimbwende na mashuhuri hapa Jf;Nita kuwa nafanya kama ifutavyo,ninamjua menber kwa majina yake full alafu nakuja hapa naelezea majina yake halisi halafu wewe mwana chiti chachat utanitajia ID yake zikipita post 15 natoa jibu na kama kutakua na mtu aliye shinda anazawadiwa zawadi ya vocha ya shilingi elfu 5.
mshindi atakuwa na sifa zifuatazo
- ni member wa jf si chini ya miezi 6 toka ajiunge na jf
- Ni mdau wa mara kwa mara hapa chit chat
Kwa leo naanza na mwanadada,mlimbwende na mashuhuli hapa Jf.Detail zake ni hizi zifuatazo:-
- Jina lake halisi ni JOYCE JUCY
- Ni mkazi wa DSM
- yupo single
- Alizaliwa 05feb
- ID yake ni...............(itatajwa baada ya mshindi kupatikana (post ya 16)
naombeni jibu,mshindi wa kwanza kujinyakulia vocha ya elfu 5,vigezo na mashart kuzingatiwa
NB:
Vocha itatumwa number kwa PM