Hata yale makontena tuliyozuia bandarini tutawalipa ACACIA tu, huu ni ukweli mchungu ila ni ukweli

Hata ukirubuniwa, ukishatia sahihi umekwisha! Tatizo unadhani mikataba ya kimataifa ni sawa na talaka zenu za uswahilini, leo unatoa talaka kesho unamrudisha! Nakubaliana na jitihada za Rais Magufuli, lkn hii iwe ni kwa tahadhali ili tusije pata hasara juu ya hasara!
Alokudanganya nani....hebu jaribu kufatilia kilichomkuta yule rais wa FIFA kisha uje utudanganye na mambo ya mikataba ya kimataifa unayoijua wewe.
Kwanzia mwanzo wa mchakato wa maandalizi ya mkataba hadi mwaisho wa makubaliano/kutiliana saini, ikibainika matumizi ya rushwa kutumika ili kulazimisha makubaliano basi hapo upande mmoja wapo kati ya wahusika anayo haki ya kuuvunja mkataba.
Dunia nzima hakuna nchi inayounga mkono rushwa wala ukwepaji wa kodi, hivyo acha washughulikiwe tu kwa uhalifu.
 
Alokudanganya nani....hebu jaribu kufatilia kilichomkuta yule rais wa FIFA kisha uje utudanganye na mambo ya mikataba ya kimataifa unayoijua wewe.
Kwanzia mwanzo wa mchakato wa maandalizi ya mkataba hadi mwaisho wa makubaliano/kutiliana saini, ikibainika matumizi ya rushwa kutumika ili kulazimisha makubaliano basi hapo upande mmoja wapo kati ya wahusika anayo haki ya kuuvunja mkataba.
Dunia nzima hakuna nchi inayounga mkono rushwa wala ukwepaji wa kodi, hivyo acha washughulikiwe tu kwa uhalifu.
Sakata la FIFA unalijua vema? Blatter kaondolewa pale baada ya kuminya maslahi ya wakubwa (Marekani), masuala ya rushwa ni njia tu ya kupitia! Kila kitu pale kilichezwa na mmarekani, na wenye akili wote wanajua! Nasi huku tunapambana na mmarekani huyo huyo!
Nasubiri kuona tukivunja hiyo mikataba!!!!
 
Ku
Kazi yenu kupinga tu

Mnaudhi sana, Sijui mnapenda tuendelee kuibiwa

Mnajifanya wajuaji sana, Serikali inajua inachokifanya, mnaropoka utadhan hiyo mikataba mshawahi hata kuiona na kujua ugumu upo wapi

Ndio maana raisi Aliunda tume mbili, Hakukurupuka,

Na kwa staili hii 2020 HAMPITI, Wa tanzania washajua udalali wenu

Yupo wapi Zitto, Lissu ? Kelele nyiiiingi hata formula ya Gold, copper, sulphur, tin ,titanium Hamzijui, Ila ujuaji mwingiiii


Shenzi kabisa
Kuna Mshenzi kuliko weweee....?,BASHITE mkubwa.
 
Ushahidi wa mikataba ya kifisadi utaupata wapi wakati details za mikataba hiyo zimefanywa ni siri kubwa? Unadhani ni kwanini hata hao waliowahi kuwepo Ikulu kuanzia awamu ya tatu hadi hii leo hawataki mikataba hiyo iwekwe hadharani!? Wanaficha nini!? Na wanachokificha ni kwa faida ya nani!? Huwezi kukurupuka na kukamata mchanga bila kugusa mkataba kuhusiana na mchanga huo ambao ulisainiwa chini ya uvungu. Tutapigwa tu tena kwa kuongozwa na watu wasiyo na umakini wowote ule ni wezi, mafisadi na wahuni tu.

TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute
m.ippmedia.com/en/news/tanesco-ordered-pay-148m-over-iptl-dispute

after a World Bank tribunal last week ordered the state-owned power utility to pay Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK) $148.4 million (over 320 billion shillings) plus interest in outstanding capacity charges.

The ruling comes nearly three years since the government controversially authorised payments of over $200 million (440 billion/-) from TANESCO-IPTL’s Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi’s Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP).

This was after SCB-HK purchased the IPTL loan at a discount price of $76.1 million from Malaysia’s Danaharta Bank in August 2005, following the latter’s failure to secure its outstanding loan from IPTL.

The actual face value of the debt was $101.7 million, according to available evidence. IPTL borrowed over $100 million in 1998 from a consortium of Malaysian banks in order to finance construction of its 100-megawatt Tegeta power generating plant.

Under that transaction, SCB-HK was assigned a number of contracts, including the 1997 Security Deed, the Implementation Agreement and the Guarantee Agreement concluded between IPTL and the Tanzanian government.

The available details show that SCB-HK also became the Security Agent under the Share Pledge Agreement and the Shareholder Support Deed.

Part of the agreement said: “As Security Agent, SCB HK holds all of IPTL’s ‘right, title and interest in and to the Assigned Contracts, including all moneys which may at any time be or become payable to the Borrower.’”

TANESCO had earlier taken its dispute with IPTL to the World Bank-affiliated International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) for arbitration after the state-owned power utility discovered that it was being overcharged in both capacity and energy charges.

Following this move, both parties agreed as stipulated in their 1996 Power Purchase Agreement (PPA) to establish an escrow account with the Bank of Tanzania (BoT), to be used to deposit all payments pending the outcome of the arbitration.

But a few months before ICSID issued its ruling, the government controversially (and secretly?) paid all the escrow money to PAP after the company claimed that it had acquired full 100 per cent ownership of IPTL in September 2013.

The Washington-based ICSID ruled in favour of TANESCO in February 2014, ordering a tariff recalculation so that finally the escrow money could be paid to either IPTL or the power utility firm, only to then be informed that a third party (PAP) had already been paid everything.

SCB-HK took TANESCO to the ICSID after it realised that the money in the escrow account has been paid to PAP at a time when there was still another pending case over the tariff dispute.

The bank was demanding outstanding payments to clear a loan taken by IPTL’s initial owners to set up the electricity generating turbines.

The Hong Kong-based bank took over control of IPTL after the company failed to pay its loan in 2008, and has since then been fighting to recover the debt.

And after more than five years of rigorous legal proceedings, ICSID judges have now finally ruled in favour of the bank.

"The tribunal orders that TANESCO pay to SCB-HK (Standard Chartered Bank Hong Kong) the amount of $148.4 million with simple interest at three month LIBOR (London Interbank Offered Rate) plus 4 per cent from September 30, 2015 until the date of this award," ICSID said in its latest ruling. "Interest shall continue at the same rate until full payment is received," the ruling added.

DUBIOUS ESCROW ACCOUNT PAYMENTS

ICSID also ruled that payments made by the government from the infamous Tegeta Escrow Account "did not discharge TANESCO's obligations under the power purchase agreement (PPA) and thus cannot be used to reduce the amount that TANESCO owes SCB HK."

TANESCO paid more than $120 million from the IPTL Tegeta Escrow Account to Pan African Power Solutions (PAP) under dubious circumstances in 2013.

The escrow account payments triggered a major national corruption scandal which ultimately led to the resignations of at least three senior ministers in then president Jakaya Kikwete's government.

A number of other senior government officials were also charged with corruption at the Kisutu resident magistrate's court over the IPTL escrow account scam.

Lawyers representing Standard Chartered Bank at the arbitration accused TANESCO of misleading the ICSID tribunal judges by concealing facts about the payments made from the escrow account to PAP.

"SCB-HK understands that PAP used $75 million of the funds obtained from the escrow account to pay VIP Engineering and Marketing Limited (owned by Tanzanian businessman James Rugemalira) for its 30 per cent shareholding in IPTL," says part of the 100-page ruling.

"The funds held in the escrow account that should have been available to satisfy TANESCO's payment obligations to IPTL under the PPA (power purchase agreement) have therefore been paid to two Tanzanian parties - VIP and PAP - neither of whom made any financial contribution to the construction of the facility," it adds.

The ruling seen by The Guardian was dispatched to the parties involved in the arbitration - Standard Chartered Bank and TANESCO - on September 12 this year.

The ICSID is part of the World Bank Group and is funded by the Bretton Woods institution. It is headquartered in Washington, DC, in the United States.

An ICSID award is binding on all parties to the proceeding and each party must comply with it.
If a party fails to comply with the award, the other party can seek to have the pecuniary obligations recognised and enforced in the courts of any ICSID member state as though it were a final judgment of that state’s courts.

Members of the tribunal that issued the award in favour of Stanchart were Prof Donald McRae (president), Prof Zachary Douglas (arbitrator), and Prof Brigitte Stern (arbitrator).

In the arbitration process, the bank was represented by a team of lawyers from two London-based law firms - Herbert Smith Freehills LLP and Linklaters LLP.TANESCO was represented by a team of lawyers from Tanzanian-based law firms R.K.

Rweyongeza & Co. Advocates and Crax Law Partners, and a Zurich-based law firm Kellerhals Carrard.ICSID ruled that each party should bear its own legal fees and expenses.


Si ni nyinyi mlikuwa mnalalamika kuwa mikataba ni mibovu ya Madini. Mkawa mnashauri ipitiwe upya?. Sasa utaanzaje kujenga hoja ya kupitia mikataba upya wakati huna ushahidi?? Au mlikuwa mna tudhiaki sisi watanzania?? Serikali kwa sasa inakusanya ushahidi. Tulia.
 
Tunasimama na report ya wanasayansi wetu na mapendekezo yao .... Na wala si porojo za wana jf na wanasiasa .. Report ya kisanyanai hupingwa kisayansi
 
Kuna watu wanachangia tu kit ila hawajui jamaa post yake imebeba ujumbe gani. Hapa tushaanza na Dowans. Tutakwenda Kwa ujuaji wetu na huu uzalendo halafu baadaye tunageukana. Hapa kinachotakiwa ni kuweka mikataba yote mezani ili wenye uchungu waipitie na kutoa Ushauri. Lakini kama mikataba bado ni ya kina Chenge basi tusitarajie kitu. Tunatengeneza ufujaji mwingine wa hela. Kwanza tutakuwa tumejipiga hela wenyewe. Tume itakuwa imekula hela ya bure na za kuja kutumiwa na mawakili kututetea nazo zitakwenda bure halafu mwisho wa siku ttalipa. Huyu Rais anatuingiza tena kwenye meli ya Samaki. Washauri please kama mpo wahini mfanye Ushauri.
Kama wakapatikana watu wakapitia tena mikataba ile na kuandaa ripoti yao serikalini basi utata Unaweza kuondolewa bila mgogoro mkubwa. Bila kufanya hivyo ndipo utasikia mtu aajitangazia kuwa na nia njema kumbe huku kapigisha Nchi hasara. Lakini pia Rais si anajua sakata hili Kwa ndani zaidi maana kipindi chá kuwekwa Kwa mkataba alikuwemo ndani ya serikali kama waziri. Kwa upande mwingine anajua anachokifanya. Tukisema time will tell tunajidanganya bora tuseme apate wanasheria wazuri.
 
Bwana G sam, unaweza ukawa shabiki mkubwa wa chama fulani, lkn lazima uelewe kuwa unapotaka kufanya maamuzi lazima yaende na informed decision. Na ndicho alichofanya Mhe. Rais lazima ukumbuke kuwa ktk hili sakata kuna watu walikuwa wanafaidika binafsi rejea kauli ya Katibu Mkuu wa wizara ya nishati na Madini alivyotofautiana na wataalam wengine pale bandarini kuwa hakukuwa na madini mengine, na Rais akatengua mara moja uteuzi wake. Ni wazi kuwa mengi yamefanywa na serikali ya CCM, na usifikiri kuwa ukiwa kwenye baraza la mawaziri unaweza kushawishi maamuzi yafanyike unavyoona inafaa ushauri wako unaweza kupokelewa lkn usifanyiwe kazi kwa hiyo asihukumiwe ati kwa sababu alikuwa sehemu ya serikali. Atathminiwe kwa hiki anachokifanya sasa. Pendekezo la ati tuendelee kupigwa sababu tu, tulisaini mikataba hata kama nimibovu ni ufinyu wa akili na uzalendo. Huwezi endelea kuonewa kila siku sababu ya mikataba na sheri za nchi. Hizi sheria zinaweza badilishwa na mikataba ikarejewa ili nasi tupate tunachostahili tuweze kuendelea. Nakushauri soma TAMKO la LEAT juu ya taarifa iliyowasilishwa. Acheni unazi wa kijinga
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Je kamati ya rais ilikuwa na hadidu rejea zipi? Na hizo hadidu rejea zimetoa majibu sahihi? je majibu hayo yametoka baada ya taratibu sahihi? Za uchunguzaji? Je wachunguzaji ni wataalam wa kuaminika katika uchunguzi huo? Je baada ya uchunguzi sample ya iliyotumika kuchunguza ipo?
mali na taarifa ya uchunguzi ni ya nani? Watanzania au Rais? Kama ni ya watanzania mlitaka mkabidhiwe taarifa katika mtindo upi.. ? Ili kila mtu aisikie?
je wanaoona wameonewa hadidu za rejea zilikuwa zinawagusa wao mzigo unaotoka kwao?..
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.
kuliko Piga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.
Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Naunga mkono hoja na nilisema siku nyingi.
Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie Kwenye Madini Tuu na Gesi Jee?!.

Paskali
 
Sakata la FIFA unalijua vema? Blatter kaondolewa pale baada ya kuminya maslahi ya wakubwa (Marekani), masuala ya rushwa ni njia tu ya kupitia! Kila kitu pale kilichezwa na mmarekani, na wenye akili wote wanajua! Nasi huku tunapambana na mmarekani huyo huyo!
Nasubiri kuona tukivunja hiyo mikataba!!!!
Usichokiamini ndicho kitachotokea.
 
Naam muda utafika na haya yanayozungumzwa leo yatatekelezwa tu.

Sisi wote ni wazalendo, tena wazalendo tuliopiga kelele kwa muda kwelikweli. Tatizo letu kubwa huwa hatuachi kusema ukweli tena ukweli mchungu. Tulifungia makontena ya ACACIA pale bandarini kwa muda sasa huku tukiunda tume kuyachunguza. Sasa tuchague moja, kuwalipa fidia pale watakapodai ama kuishi kama watu ndani ya handaki, hakuna kutoka nje ama kutoa chochote. Hapo nimetumia mfano ila ni kuwa tutakapoamua kwenda kinyume na mikataba CCM waliyosaini basi tutaumia wote.

ACACIA hawakufanya biashara hewani, wamefanya biashara Tanzania na wamekaguliwa na vyombo huru tulivyojiundia sisi wenyewe, wao kama wao hawajawahi kutoka nje ya vyombo lukuki mliojiwekea enyi serikali ya CCM. Mna TMAA, mna CAG, mna ofisi ya AG, mna mahakama ya kibiashara na mbaya zaidi wanapitia kwenye njia zenu kupeleka mali zao huko ughaibuni.

Leo mnakurupuka kuwafungia kwa muda lakini tutalazimika kubuni vyanzo vingine vya mapato kuwaifidia kwa haya tunayofanya leo pale watakapoamua kufanya hivyo.

Uzalendo ukiambatana na mambo ya kujifariji na kuishi kwa matumaini ndani ya muda mfupi, huo sio uzalendo. Uzalendo huambatana na ukweli na suluhisho ambalo ukiliangalia tu unajua kuwa hili ni suluhisho. Badala yake sasa tunapiga tu blah blah na mbaya zaidi wanaotuchezesha zumari hili la blah blah wanaujua ukweli. Ole kwa wale wasiojua ukweli huo.

Jana rais Magufuli alichofanya ni kuwakumbusha tu watanzania kuwa Mkapa katuingiza cha kike. Akakumbushia machungu wee huku tukiuma meno kwa hasira. Lakini ni bora angesema pia hata haya makontena niliyozuia nitalazimika kulipa fidia pale itakapodaiwa. Huo ndiyo ukweli.

Narudia tena kuwa, ACACIA aki-step forward tu nitashangaa sana kama AG atatuma mawakili kwenda kutetea serikali! Kushinda kesi itakuwa ni ndoto ya mchana. Ni kweli tumepigwa kwa muda sana na sasa madini ni kama yanaishiaishia lakini kwa sasa tunayo maamuzi mawili tu (Haramu)
1) Kukubali kuendelea kupigwa kutokana na mkataba tuliosaini wenyewe.
2) Tuamue kufanya kama Mugabe (Huyu ni mwenzetu. Kamwe tusijilinganishe na kina Cuba, Ana Venezuela maana hawa wanajiweza sana kiuchumi). Na tukiamua kuishi kama Mugabe basi watakaoanza kuumia ni wale mafukara wa kutupwa. Kuumia kutaenda ngazi kwa ngazi hilo lipo wazi. Nje ya hapo tutakuwa tunapiga tu porojo.

Bahati mbaya sana yapo mavuvuzela humu ambayo tukiongea ukweli huu yanaleta kejeli na kuona kama tumenunuliwa! Lah! Acha tu muone hivyo lakini ukweli ndio huo! Hawa wamefanya biashara wakisimamiwa na vyombo lukuki vya serikali ya CCM, leo hawapaswi kamwe kulaumiwa. Na kinara anayelaumu naye alikuwa kwenye vikao halali vya baraza la mawaziri tangia mwaka 1998 hajawahi kuwa nje hata mara moja mpaka anakuwa rais. Bora hata Muhongo yeye aliyakuta ila siyo Magufuli.

Naona UVCCM wamepongeza, tofauti ni kuwa wakati Mkapa anasaini hii mikataba UVCCM ya wakati huo ilipongeza pia na kuuita uzalendo. UVCCM hiyohiyo ya enzi za Kikwete ilipongeza pia. Hawa huwa ni kazi yao kupongeza kila tukio la mkuu wao wa wakati huo. Ukweli ni kazi yetu sisi kuusema na ndiyo maana tunausema. Sisi ni wazalendo kweli ila pia ni wasema ukweli kweli.
Waliosabibisha na container yakazuiwa ni wao wateja kwa kuto ku declare the true value ya kule wanacho safirisha, hivyo si kosa kwa serikali au mamlaka ya mapato kuyazuia ili waweze kupata true value. Refer wewe ukiketa kitu toka nje uka under value ili kukwepa kodi , hivyo ikachelewesha mzigo kutoka je mamlaka ya mapato wanakulipia dummarage charges ???
 
Hapa nilipo hata chai sijanywa nitachangia nini???Afu nichangie vipi wakati hata mkataba wenyewe siujui wala sijawahi kuuona?
 
Lissu achana nao hao washangiliaji wa kila kitu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom