johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,591
- 141,393
Tusiwe wasahaulifu kwa kweli kwani hata Magufuli alipoukwaa uwaziri wa Ujenzi kutoka kwa Anna Abdallah kipenzi cha CCM alikuja na sera mbadala kwenye ujenzi wa miundombinu na wengi walimpinga na kumlalamikia lakini leo ndio tunashangilia maendeleo ya barabara na miundombinu mingine.
Tumpe nafasi Waziri January Makamba atimize ndoto yake katika mabadiliko makubwa kwenye sekta ya Umeme anayoyakusudia.
Ninaamini hatatoka nje ya Ilani ya CCM.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Tumpe nafasi Waziri January Makamba atimize ndoto yake katika mabadiliko makubwa kwenye sekta ya Umeme anayoyakusudia.
Ninaamini hatatoka nje ya Ilani ya CCM.
Mungu wa mbinguni awabariki!