Hata wanyama wana dini.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Nyumba moja ilikuwa na panya wasumbufu wengi sana.Ili kuondokana na adha ya wale panya,jamaa wakatafuta nyama ya nguruwe,wakaipaka sumu kisha wakaitega ili panya wale.Walipoamka asubuhi wakakutana na karatasi imeandikwa;sisi sote ni waislamu hatuli kitimoto!
 
Nyumba moja ilikuwa na panya wasumbufu wengi sana.Ili kuondokana na adha ya wale panya,jamaa wakatafuta nyama ya nguruwe,wakaipaka sumu kisha wakaitega ili panya wale.Walipoamka asubuhi wakakutana na karatasi imeandikwa;sisi sote ni waislamu hatuli kitimoto!
Nice!!!
Unanikumbusha stori ka hiyo, panya pia walitegewa nyama, siku iliyofuata hiyo nyama ilikuwa hivyo hivyo, wakakuta kikaratasi panya wameandika "Sisi ni Marasta hatuli nyama"
 
Nyumba moja ilikuwa na panya wasumbufu wengi sana.Ili kuondokana na adha ya wale panya,jamaa wakatafuta nyama ya nguruwe,wakaipaka sumu kisha wakaitega ili panya wale.Walipoamka asubuhi wakakutana na karatasi imeandikwa;sisi sote ni waislamu hatuli kitimoto!

...bila shaka ni Suni hao!!
 
Back
Top Bottom