Hata wanaume hulia

Mwanaume akilia ujue ni jambo zito linalomsibu sio bure................mwanaume hutakiwi kulia, unatakiwa kububujikwa na machozi endapo yamekufika mazito,
wengine hata machozi ni kwa sababu tu matatizo ya macho, ...
 
Nione yooote, ila sii mwanaume akilia jamani...

Inauma, huwa naumia seriously hata kama Simjui nitajikuta nami nalia
 
bcf807564c93f264470da24373ab85a0.jpg

Sure and perfectly, men do cry, even when they know their forgery av bn discovered. Tear of sympathy.
 
Back
Top Bottom