Hata wanaume hulia

Mtu anasaidie kweli hili, sijawahi kulia sehemu yeyote ile tofauti na lakini nicheka sana machozi yenyewe huwa yanatoka!
 
Ghafla nimemkumbuka mizengo pinda.....
upload_2017-4-18_18-32-19.png
 
Machozi yetu wanaume pale yanapodhihiri hadharani hata mkiwa wawili basi humaanisha sana kuliko vilio vya wanawake kadhaa katika maisha yao ya kwaida
 
Back
Top Bottom