pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Kama unamaanisha dar basi bado sana hasa maeneo ya misheni kota kariakookweli mji umependeza unapita sehemu kwa amani sana
Ni shida za malori na usafirishaji mizigo kati kati ya barabara hadi wapita kwa miguu wanapita kwa shida sana achilia mbali magari madogo na pjkipiki,
Yaani hii ni laana ya wamachinga
Kwani kwa kweli kwa jinsi hali ilivyo na kuondolewa kwao ni kuoneana tu
Malori ni shida kariakoo