Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,186
- 8,212
Anaandika @exaud_msaka_habari
Huwezi kutaja Timu zako tatu bora Africa kwa sasa kwenye haya Mashindano ukaiacha Simba, tukubali tu hilo kwanza ndio tuendelee kijadili soka.
Ukitaka kupima uwezo wa Simba subiri siku wacheze na Mitimu mikubwa kama hii ndio unaweza kupima.
Bonge moja la Mechi leo, utulivu, Malengo, na kuzingatia wanachoambiwa na Mwalimu ndio kinawafanya Simba wawe bora sana Msimu huu.
Mchezaji mmoja mmoja kila mtu ni Bora kwa upande wake, akikuudhi dakika moja basi ujue dakika tatu zijazo atakufurahisha.
Tunaendelea kujifunza Soka kupitia kwa Chama, tunaendelea kujiona hatujui soka kupitia Chama.
Niliwahi kusema hapa mtu anayejua mpira usimtukane hata akifanya kitu gani, anabakia anajua na kuna Siku atakuonesha.
ALL IN ALL DALILI ZINAONESHA SIMBA HAISHII ROBO FAINALI.
Huwezi kutaja Timu zako tatu bora Africa kwa sasa kwenye haya Mashindano ukaiacha Simba, tukubali tu hilo kwanza ndio tuendelee kijadili soka.
Ukitaka kupima uwezo wa Simba subiri siku wacheze na Mitimu mikubwa kama hii ndio unaweza kupima.
Bonge moja la Mechi leo, utulivu, Malengo, na kuzingatia wanachoambiwa na Mwalimu ndio kinawafanya Simba wawe bora sana Msimu huu.
Mchezaji mmoja mmoja kila mtu ni Bora kwa upande wake, akikuudhi dakika moja basi ujue dakika tatu zijazo atakufurahisha.
Tunaendelea kujifunza Soka kupitia kwa Chama, tunaendelea kujiona hatujui soka kupitia Chama.
Niliwahi kusema hapa mtu anayejua mpira usimtukane hata akifanya kitu gani, anabakia anajua na kuna Siku atakuonesha.
ALL IN ALL DALILI ZINAONESHA SIMBA HAISHII ROBO FAINALI.