Uchaguzi 2020 Hata uchaguzi wa 1995 ambao vyama pinzani vilikua dhaifu kuliko CCM bado vilipata wabunge na madiwani

Inasikitisha sana kuona baadhi ya watu wanaanzisha thread za kipumbavu wakilaumu wapinzani kupoteza majimbo. Hata kwa wale wapinzani manguli waliokuwa wakikemea na kuibua Mambo yalioficha uovu na uozo wa chama dola na maswala mengine mengi yenye ukakasi ili kupata ufafanuzi kwa maslahi ya wananchi wote na taifa kwa ujumla wake wao pia kupoteza viti vyao.

Kuna tatizo kubwa sana kwenye fikra za baadhi ya watanzania kwani Kadri siku zinavyozidi kwenda “Vizazi vya wazee wetu vinaonyesha ishara zote za kuwa wao walikuwa wasomi na werevu kuliko hata sisi tunatembea vifua mbele kwamba tumeenda shule ingali bado Limbukeni na wapuuzi wa mwisho.
Wenzenu walitaka kuakisi kura za SM na uchaguzi huu ili dunia ione wanavyokubalika!!!
Huu unaitwa "mchemko wa karne" hata wao wenyewe wanashangaa ukizingatia MPASUKO WA NDANI ULIOTOKANA NA KURA ZA MAONI...
 
well said; wao walidhani kuwa watu wanamchukia magufuli sana, na ndiyo ilikuwa kampeini ya Lissu. Imekula kwao
Katika watu niliowadharau Lissu na Zitto wako kwenye kundi moja, ni washenzi na wapotoshaji mno. Nchi ilikuwa inaibiwa na walikuwa wanajuwa bcs walikuwa wanapokea hela toka kwa wazungu ili wawatetee, eti wanakuja na hoja za kipuuzi kuwa tukikamata mali zetu (makinikia) tutashitakiwa na kunyimwa misaada na wazungu. Lissu ni wakili ila kwa kweli hana akili, halafu anakuja kugombania urais? Akapakatwe zake huko Ulaya.
 
Inasikitisha sana kuona baadhi ya watu wanaanzisha thread za kipumbavu wakilaumu wapinzani kupoteza majimbo. Hata kwa wale wapinzani manguli waliokuwa wakikemea na kuibua Mambo yalioficha uovu na uozo wa chama dola na maswala mengine mengi yenye ukakasi ili kupata ufafanuzi kwa maslahi ya wananchi wote na taifa kwa ujumla wake wao pia kupoteza viti vyao.

Kuna tatizo kubwa sana kwenye fikra za baadhi ya watanzania kwani Kadri siku zinavyozidi kwenda “Vizazi vya wazee wetu vinaonyesha ishara zote za kuwa wao walikuwa wasomi na werevu kuliko hata sisi tunatembea vifua mbele kwamba tumeenda shule ingali bado Limbukeni na wapuuzi wa mwisho.
Hao wazee unaosema wana akili ndio wameshiriki kwenye wizi wa kura kwa kiasi kikubwa kuliko hata vijana kwenye uchaguzi huu wa 2020, sasa sijui akili zao zipo kwenye nin
 
Hakuna uchaguzi bali maigizo ya kaole, ni mwendawazimu pekee atakayekubaliana na uhuni huu wa CCM na Jaji Kaijage.
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Haiingi akilini kwa watu wastaarabu kumteua kichaa kugombea nafasi ya Urais. Kwa maneno na matendo yake, wakati wa kusaka udhamini na kampeni, amethibitisha kiwango chake cha ukichaa.

Mimi kama mimi nimehifadhi hotuba zake zote ambazo zimejaa majigambo na misifa, dharau, kebehi, kejeli, uzushi na uwongo, na kila aina ya matusi.

Yawezekana hakujua kuwa Wapiga kura wa 1995 siyo wa 2020, na kama alijua basi alidharau. Hivyo basi, walimwona, wakamsikia na kisha wamemwadhibu yeye na kundi zima la upinzani. Hata jimboni kwake, alikomudu kama mbunge, pia wamemwadhibu.
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Tunaombwa tuombe Mungu sana ili tuweze kuishinda hii hali, kama tulivyoishinda Korona.
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Bavicha wengi hawajapiga kura. Mmeyataka, ukute hata wewe hujapiga alafu umefungua bakuli lako hapa nyuzi 360
 
Nilikua secondary mwaka 1995 na nilishiriki “kulinda kura” za Mrema bila mafanikio.

Mwaka 1995 na 2010 effort kubwa ilipelekwa kwenye urais ili kuhakikisha Mrema na Dr. Slaa hawashindi na majimboni almost kila Mbunge aliachwa apambane na hali yake, the reason wapinzani walishinda sehemu kadhaa

Tofauti na mwaka huu, maagizo yalikuwa kukomba kila kitu kuanzia Urais mpaka majimboni.

Upinzani hautokaa upewe Nchi hii kwa mfumo wa sasa wa Uchaguzi. Funny enough, viongozi wa Upinzani wanalielewa hili
 
Katika watu niliowadharau Lissu na Zitto wako kwenye kundi moja, ni washenzi na wapotoshaji mno. Nchi ilikuwa inaibiwa na walikuwa wanajuwa bcs walikuwa wanapokea hela toka kwa wazungu ili wawatetee, eti wanakuja na hoja za kipuuzi kuwa tukikamata mali zetu (makinikia) tutashitakiwa na kunyimwa misaada na wazungu. Lissu ni wakili ila kwa kweli hana akili, halafu anakuja kugombania urais? Akapakatwe zake huko Ulaya.
Wewe Mbona huna Akili ni mbumbumbu unawezaje kujua asiye na Akili?
 
Nilikua secondary mwaka 1995 na nilishiriki “kulinda kura” za Mrema bila mafanikio.

Mwaka 1995 na 2010 effort kubwa ilipelekwa kwenye urais ili kuhakikisha Mrema na Dr. Slaa hawashindi na majimboni almost kila Mbunge aliachwa apambane na hali yake, the reason wapinzani walishinda sehemu kadhaa

Tofauti na mwaka huu, maagizo yalikuwa kukomba kila kitu kuanzia Urais mpaka majimboni.

Upinzani hautokaa upewe Nchi hii kwa mfumo wa sasa wa Uchaguzi. Funny enough, viongozi wa Upinzani wanalielewa hili
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
CCM bila kumuogopa mungu bila Aibu eti wanasherekea na kuita eti huu ni ushindi, CCM acheni dharau kwa wapiga kura Tambueni kuwa wapiga kura wanajua hawakuichagua CCM Kitendo cha kusherekea kwa kutumia uteuzi wenu wa wakurugenziccm Polisiccm NECCCM Tumeccm kisha kuwasingizia waliwachagua kinawauma sana, hakuna kitu kibaya Duniani kama kusherekea kitu cha wizi kusherekea uporaji wa majimbo Urais kwa njia haramu za kishetani pasipo ridhaa ya wapiga kura ni Dhambi kubwa mno, huu haukuwa uchaguzi bali ni maigizo na vioja vya CCM kuuhadaa ulimwengu kuwa kumefanyika uchaguzi Tanzania.
 
Back
Top Bottom