Hisia zako tu!Watu wanamchukia ndiyo na hawakumchagua kilichofanyika ni wizi wa kura na uchakachuaji mtupu, CCM wamelibaka na kulilawiti sanduku la kura
Kura zilisha pigwa,nini unacho shangaaView attachment 1615672View attachment 1615673
Wizi wa Tume ya Uchaguzi inakuaje kura walizopata lisu na Magufuli zinafanana kwenye majimbo yote mawili?
Mtakoma na ndio mzeeHatimaye bunge limepata salamu ya pamoja kwa mara ya kwanza.....
Wenzenu walitaka kuakisi kura za SM na uchaguzi huu ili dunia ione wanavyokubalika!!!Inasikitisha sana kuona baadhi ya watu wanaanzisha thread za kipumbavu wakilaumu wapinzani kupoteza majimbo. Hata kwa wale wapinzani manguli waliokuwa wakikemea na kuibua Mambo yalioficha uovu na uozo wa chama dola na maswala mengine mengi yenye ukakasi ili kupata ufafanuzi kwa maslahi ya wananchi wote na taifa kwa ujumla wake wao pia kupoteza viti vyao.
Kuna tatizo kubwa sana kwenye fikra za baadhi ya watanzania kwani Kadri siku zinavyozidi kwenda “Vizazi vya wazee wetu vinaonyesha ishara zote za kuwa wao walikuwa wasomi na werevu kuliko hata sisi tunatembea vifua mbele kwamba tumeenda shule ingali bado Limbukeni na wapuuzi wa mwisho.
Katika watu niliowadharau Lissu na Zitto wako kwenye kundi moja, ni washenzi na wapotoshaji mno. Nchi ilikuwa inaibiwa na walikuwa wanajuwa bcs walikuwa wanapokea hela toka kwa wazungu ili wawatetee, eti wanakuja na hoja za kipuuzi kuwa tukikamata mali zetu (makinikia) tutashitakiwa na kunyimwa misaada na wazungu. Lissu ni wakili ila kwa kweli hana akili, halafu anakuja kugombania urais? Akapakatwe zake huko Ulaya.well said; wao walidhani kuwa watu wanamchukia magufuli sana, na ndiyo ilikuwa kampeini ya Lissu. Imekula kwao
Hii ilikuwa zamani kwa marais waliopita si huyu wa sasa. Endelea kuota ndoto.Mtakoma na ndio mzee
Hao wazee unaosema wana akili ndio wameshiriki kwenye wizi wa kura kwa kiasi kikubwa kuliko hata vijana kwenye uchaguzi huu wa 2020, sasa sijui akili zao zipo kwenye ninInasikitisha sana kuona baadhi ya watu wanaanzisha thread za kipumbavu wakilaumu wapinzani kupoteza majimbo. Hata kwa wale wapinzani manguli waliokuwa wakikemea na kuibua Mambo yalioficha uovu na uozo wa chama dola na maswala mengine mengi yenye ukakasi ili kupata ufafanuzi kwa maslahi ya wananchi wote na taifa kwa ujumla wake wao pia kupoteza viti vyao.
Kuna tatizo kubwa sana kwenye fikra za baadhi ya watanzania kwani Kadri siku zinavyozidi kwenda “Vizazi vya wazee wetu vinaonyesha ishara zote za kuwa wao walikuwa wasomi na werevu kuliko hata sisi tunatembea vifua mbele kwamba tumeenda shule ingali bado Limbukeni na wapuuzi wa mwisho.
Haiingi akilini kwa watu wastaarabu kumteua kichaa kugombea nafasi ya Urais. Kwa maneno na matendo yake, wakati wa kusaka udhamini na kampeni, amethibitisha kiwango chake cha ukichaa.Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.
Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.
Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.
Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.
Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.
Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.
Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.
Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.
Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Tunaombwa tuombe Mungu sana ili tuweze kuishinda hii hali, kama tulivyoishinda Korona.Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.
Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.
Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.
Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.
Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.
Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.
Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.
Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.
Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
CCM OYEEEEEHatimaye bunge limepata salamu ya pamoja kwa mara ya kwanza.....
Bavicha wengi hawajapiga kura. Mmeyataka, ukute hata wewe hujapiga alafu umefungua bakuli lako hapa nyuzi 360Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.
Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.
Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.
Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.
Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.
Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.
Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.
Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.
Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Oyee✌️✌️✌️✌️✌️CCM OYEEEEE
Wewe Mbona huna Akili ni mbumbumbu unawezaje kujua asiye na Akili?Katika watu niliowadharau Lissu na Zitto wako kwenye kundi moja, ni washenzi na wapotoshaji mno. Nchi ilikuwa inaibiwa na walikuwa wanajuwa bcs walikuwa wanapokea hela toka kwa wazungu ili wawatetee, eti wanakuja na hoja za kipuuzi kuwa tukikamata mali zetu (makinikia) tutashitakiwa na kunyimwa misaada na wazungu. Lissu ni wakili ila kwa kweli hana akili, halafu anakuja kugombania urais? Akapakatwe zake huko Ulaya.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniNilikua secondary mwaka 1995 na nilishiriki “kulinda kura” za Mrema bila mafanikio.
Mwaka 1995 na 2010 effort kubwa ilipelekwa kwenye urais ili kuhakikisha Mrema na Dr. Slaa hawashindi na majimboni almost kila Mbunge aliachwa apambane na hali yake, the reason wapinzani walishinda sehemu kadhaa
Tofauti na mwaka huu, maagizo yalikuwa kukomba kila kitu kuanzia Urais mpaka majimboni.
Upinzani hautokaa upewe Nchi hii kwa mfumo wa sasa wa Uchaguzi. Funny enough, viongozi wa Upinzani wanalielewa hili