Hata Tume Huru ya Uchaguzi ikiwepo Tanzania, CCM hawawezi kuachia ngazi!

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Wana Jamvi!

Tafakuli yangu pevu imejaribu kufuatilia masuala ya chaguzi ya nchi yetu hii pendwa na kuchunguza je kama wananchi wakitaka mabadiriko watayapataje?

Matokeo halisi yanaonyesha kumbe tatizo si tume huru ya uchaguzi bali jina la chama dola! Hilo jina haliruhusu chama au kikundi chochote kutawala nchi hii hata kwa kuchaguliwa kihalali!

Kumbe wanaharakati wanachitakiwa kung'ang'ania sio tu tumehuru ya uchaguzi bali pia maana ya jina la chama dola na mabadiriko ya jina la chama dola!

Ndoto halisi!
 
Sasa hapo watakuwa wamefika mbali. Nitatumia hata gobole langu nililoachiwa na babu.
 
Tutumie njia gani sasa mkuu ili hawa wachawi ccm watoke hata ikifika 2020 au 2025 wasiwepo kabisaaa.
 
Wanaharakati waanze kuhoji uhalali wa jina hilo là chama! Libadirishwee
Hakuna cha jina wala nini. Ni kufanya kama nchi zingine tu zilizoweza. Umeshindwa Uchaguzi nawe unalazimisha ushindi basi ufanyiwe kile wanachofanyiwa mbuzi pale Vingunguti.
Mmoja au wawili wakifanyiwa wengine watajua kuwa kumbe jamaa wameamka hawataki u spoti spoti
 
Hakuna cha jina wala nini. Ni kufanya kama nchi zingine tu zilizoweza. Umeshindwa Uchaguzi nawe unalazimisha ushindi basi ufanyiwe kile wanachofanyiwa mbuzi pale Vingunguti.
Mmoja au wawili wakifanyiwa wengine watajua kuwa kumbe jamaa wameamka hawataki u spoti spoti
si kwa wabongo ndugu!
 
Case study ipo wazi! Zanzibar
Unataka kusema chama chenyewe kazi yake ni sawa na jina lake?? Yaani kupindua hata matokeo ya kura halali kama ilivyokuwa Zenj? Na unataka kusema kuwa lazima watapindua pindua tu hata kama kuna tume huru? Nahisi sijakuelewa!!
 
Iwapo Kutakuwepo na Katiba Mpya au angalau Tume huru ya Uchaguzi, Magufuli hawezi Kupata hata Asilimia Kumi za Kura za Urais.

This is a Direct Challenge to you Mr. Magufuli, ruhusu Tume huru. Kwanini Tunaandikia Mate Mkuu? Na kama Unaamini Ushindi utaupata kwa kuwa na Tume Pupet ni Kukiri kuwa huna lolote na hukubaliki,

Prove me wrong! Usipokubali Tume huru iwepo ni Kutuambia huna Ubavu ni Kelele tu. "Message sent and Delivered Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Ila Huu ni Ukweli haswa! Sio Unafiki na hadaa!
 
2020 Magu atashinda kwa asilimia kubwa zaidi. Zaidi ya 80%
Yes Nakubali kwa Tume hii HEWA atashinda hata kwa 100% au zozote atakazopendekeza na Kuwaagiza Mastooge wa tume. Huo sio Ushindi ni Kama Baradhuli anayejitekenya kisha Kuangua Kicheko. Nachosema kwa Tume huru hawezi kupata Zaidi ya 10% Kama hili Utabisha? mwambie aruhusu Katiba mpya na Tume huru!
 
Kwanini ni muhimu kuishi na kutenda kwa ajili ya kushinda uchaguzi ujao???
Unaweza kufanya mambo yenye matokeo ya muda mrefu kwa mentality hizo??
 
Haki ya Mungu yani hata 10% hapati.
Hali ngumu, tete sn mtaani. Kejeli,manyanyaso na madhira yote watu yanawauma sn sn.
Ni nani wa kudai tume huru Tanzania japo alianzishe tu!!Mbona kenya wameweza.
 
Back
Top Bottom