Ndio Ndugu,Mungu Nimmeamini HashindwiMungu ni mwema
Sitaacha Ndugu,Namshukuru MunguHaleluya.
Kwa hakika hata sasa Bwana amesaidia...naiona nuru juu yako.
Nahisi hata huyo ambae hujamfahamu atakuwa ni malaika
Hongera sana Mkuu,hapo ongeza moto zaidi
Asante NduguMungu aendelee kukushindia
Asante Ndugu.Lazima niende nikamshukuru Mungu kwa baraka alizoweka juu yangu.Mungu aendelee kukutokea na ukatoe sadaka ya shukrani
Safi sana,Usiwe mvivu..sasa hivi piga double double.....Sitaacha Ndugu,Namshukuru Mungu
AmeenMungu ni kwema, endelea kuharbu nguvu za giza.
Kwa kweli.Maombi ni silaha sanamungu ni mwema tusiache kumuomba leo na milele