Hata sasa Mungu amenisaidia. Hakuna lililopo chini ya jua litakaloshindikana

Sitaacha Ndugu,Namshukuru Mungu
Safi sana,Usiwe mvivu..sasa hivi piga double double.....
.. asubuhi,mchana na jioni

Na huyo mtesi mkabidhi kwa Mungu ampige moto wa Mungu + makombora.Lia na Mungu hadi koo likauke

Nahisi hilo jamaa kama lipo mitaa ya hapo litahama au lianzishe urafiki na wewe akuzingue tena.

Kemea hadi kieleweke.
 
Back
Top Bottom