FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,191
Hata bila ya rais kanisani hukai popote unapopataka wewe. Ubaguzi mtupu.Ni kweli kua rais anapaswa kulindwa na kuhakikishiwa ulinzi masaa 24 7.
Naomba kuuliza, je rais anapokua kanidani haruhusiwi kuchagamana na waumini wengine?
Kwa mfano katika hii picha walinzi wa rais wamemzunguka na kumtenga rais na watu wengine. Je hii haiondoi dhana nzima ya kua ibadani? Hakuna namna nyingine ya kuharmonize ulinzi wa rais katika mazingira kama haya maana kwa hii inaondoa kabisa ile ari ya kusali.
Nimeuliza tu.View attachment 1018569