Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,362
- 33,003
Kuiweka serikali mfukoni na kuwa na hela nyingi ni vitu viwili tofauti. Ubongo wako una tatizo la kufikiri na kutofautisha mambo.Kipindi cha nyerere kuna ndume moja ilijotokeza na kusema Ina pesa kuzidi serikali
Tena alipita njiani akijinadi kuwa serikali yote ipo mfukoni mwake
Hakika Mwl nyerere alihudhunika saaanaa na hatimaye akasema
"Ni nani huyu awezaye kusema serikali yote iko mfukoni mwake je ana mfuko mkubwa kiasi Gan?"
Basi Mwl aliamua kumkamata jamaa na kumtia misukosuko Sana Sana
Mapadiri na maaskofu wakaingilia Kati et Mwl mwachie Mwl mwachieeeeee
Basi nkamwachia kwa masharti na kwa kuwa alkuwa bepari akamwambia NAKUACHIA LAKINI USIONEKANE NDANI YA AFRIKA MASHARKI ..
JPM Fanya hvo pia tia misukosuko tu jamaa atakaa kimya tu