Uchaguzi 2020 Hata mwaka huu 2020 CHADEMA, ACT et al hawana wagombea ubunge, udiwani nchi nzima watakuwa baadhi ya maeneo, kuambulia wabunge kiduchu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Pamoja na kelele nyingi mitandaoni bado vyama vya upinzani hususani CHADEMA, ACT et al hawana na hawataweza kuwa na wagombea ubunge na udiwani kila mahali kwenye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Vyama vyote vya upinzani havitaweza kutoa wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya arobaini (40); kwenye majimbo mengi watajitokeza watu wa kuchukua fomu kama masihara na sio watu makini wenye kumaanisha. Idadi kubwa itakuwa ni wabunge wa ACT-Wazalendo kutokea Zanzibar hususani Pemba.

Kuna hatihati kupoteza takribani asilimia 80 ya madiwani na halmashauri nchini.

Hayo matokeo hata kama Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi atakuwa Mbowe hayabadiliki.
 
Chdema wanaye demu mmoja hivi naona anazunguka kwenye media kama msanii .wamemwandaa huyo
 
Ukitaka kujua kama upinzani umechoka ingia hata hapo insta tu kwenye hata page za Zitto halafu soma comments ndo utajua kuwa wabongo wamejanjaruka yaani inafikia hatua mpaka zitto anafunga upende wa comment ili watu wasimchane.

Asilimia 95℅ ya comment ni kuwapuuza tu
 
Ukitaka kujua kama upinzani umechoka ingia hata hapo insta tu kwenye hata page za Zitto halafu soma comments ndo utajua kuwa wabongo wamejanjaruka yaani inafikia hatua mpaka zitto anafunga upende wa comment ili watu wasimchane.

Asilimia 95℅ ya comment ni kuwapuuza tu
Zitto ni dikteta kwenye social media hataki kukosolewa
 
Back
Top Bottom