Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Nini umeona?Seen
Nini umeona?Seen
Kwani alivyokuwa anahamisha Mobutu nani alikuwa anatoa siri?Kwani akihamisha hela atalihutubia kanisa
HakunaKwani alivyokuwa anahamisha Mobutu nani alikuwa anatoa siri?
Kama hakuna mbona zilikuwa zinavuja namna yeye na watoto wake wanavyohamisha pesa?Hakuna
Siri ilikuja kufichuliwa baadaye na wazungu huko alikoficha fedhaKama hakuna mbona zilikuwa zinavuja namna yeye na watoto wake wanavyohamisha pesa?
Trilion 1 ilikwenda wapi?.Dogo ungekuwa karibu ningekuchapa vibao,alafu nikakupeleka kwa daktari ili upimwe akili. Yaani rais wa namna ya JPM unamfananisha na Mobutu? Umeshamsikia anapanda ndege kwenda Uswiss kula bata? Umeshasikia amehamisha pesa za umma kwenda Uswiss?
Inapeleka mitishamba.Ndege ya kimataifa itakayoenda kutua chato itakuwa inafuata nini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[SUB]Ndugu zangu wapenda mabadiliko,[/SUB]
[SUB]Tusitishwe na haka kakundi kanakoibuka ambako kanamsifu sana masihi wa Lumumbah.[/SUB]
[SUB]sababu ziko wazi.[/SUB]
[SUB]-woga[/SUB]
[SUB]-kusaka teuzi[/SUB]
[SUB]-bendera fuata upepo[/SUB]
[SUB]-kumdhihaki "yesu" ajione yuko juu huku wakimcheka.[/SUB]
[SUB]Tukumbuke pia hata Mobutu, kuku mbendu wa zabanga, dhalimu wa iliyokuwa Zaire, Sasa DRC naye alikuwa na tabia kama za huyu yesu wetu.[/SUB]
[SUB]kuandaa watu was kumsifu!!!!!!!!!![/SUB]
[SUB]shame!!![/SUB]