Hata Mnyika ataitosa CHADEMA makatibu wakuu waliomtangulia

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.
 
Pamoja na yote Chadema haiku rudi nyuma ilisonga mbele na kila chaguzi ilizidi kuimarika!

Huyo mhutu wenu asijidanganye upinzani hauwezi kufa!
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA ni kweli kuna shida.

Binafsi mimi namwamini TUNDU LISSU kuwa ndo mpinzani haswa ndani ya Tanzania.

Kipindi Lowassa anaingia CDM humu ndani zikaletwa nyuzi nyingi kuhusu uamuzi wa CDM.

Wengi waliopinga uamuzi wa CDM walisema Chama kimeingiwa na tamaa za fedha na taratibu kinaanza kupoteza misingi yake, baadhi tuliwapinga wale watu ile leo picha nzima tunaiona.

LISSU ana mapenzi haswa na Chama, hata akadiriki kusimama kumpinga Slaa kuhusu kujitoa Chadema. Na ukweli usiopingika Slaa alinunuliwa.

Mpaka sasa mimi niaminicho ni hiki, hakuna mpinzani Tanzania kama LISSU.

Huyu jamaa nimemfatilia saana na akili yangu imehitimisha hivyo, LISSU leo akianzisha chama mimi ntaenda kupanga foleni kuchukua kadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.

Na kama kuna Kirusi kikubwa ndani ya CHADEMA ila nashangaa ndiyo anaaminika na kukumbatiwa basi ni huyu Mlengwa hapa.
 
Mageuzi ya ndani ni ya Lazima. Chama kinapaswa kureflect na kufanya maamuzi magumu. Prof. Safari alitoa madini ya maana na akaapuuzwa na "wafia chama".
Ni kweli mkuu hata humu ndani kuna watu watabeza kuwa chama hakina shida kubwa.

Ni mpumbavu pekee ndie anaona chama kuimarika badala kudondoka.

CCM ilijua kabisa ikimuondoa LISSU basi wamemaliza upinzani, na ni kweli wamefanikiwa kwa 95%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.
Kolimba
Kinana
Makamba

hapo vipi?
 
CHADEMA ni kweli kuna shida.

Binafsi mimi namwamini TUNDU LISSU kuwa ndo mpinzani haswa ndani ya Tanzania.

Kipindi Lowassa anaingia CDM humu ndani zikaletwa nyuzi nyingi kuhusu uamuzi wa CDM.

Wengi waliopinga uamuzi wa CDM walisema Chama kimeingiwa na tamaa za fedha na taratibu kinaanza kupoteza misingi yake, baadhi tuliwapinga wale watu ile leo picha nzima tunaiona.

LISSU ana mapenzi haswa na Chama, hata akadiriki kusimama kumpinga Slaa kuhusu kujitoa Chadema. Na ukweli usiopingika Slaa alinunuliwa.

Mpaka sasa mimi niaminicho ni hiki, hakuna mpinzani Tanzania kama LISSU.

Huyu jamaa nimemfatilia saana na akili yangu imehitimisha hivyo, LISSU leo akianzisha chama mimi ntaenda kupanga foleni kuchukua kadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado CDM ina hazina ya viongozi!Mpaka sasa hakuna aliyekulia ndani ya CDM ametimka kwenda CCM!
 
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.

CCM Waliko ondoka Mawaziri wakuu wasafu wawili kuna shida gani?
 
Ni kweli mkuu hata humu ndani kuna watu watabeza kuwa chama hakina shida kubwa.

Ni mpumbavu pekee ndie anaona chama kuimarika badala kudondoka.

CCM ilijua kabisa ikimuondoa LISSU basi wamemaliza upinzani, na ni kweli wamefanikiwa kwa 95%.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upinzani umemalizwa???Kivipi?Mbona bado wanahangaika nao kama wamemalizwa?
 
Mageuzi ya ndani ni ya Lazima. Chama kinapaswa kureflect na kufanya maamuzi magumu. Prof. Safari alitoa madini ya maana na akaapuuzwa na "wafia chama".
Alitoa madini balaa ila vijana wa mwenyekiti(wala ruzuku) wakaanza kumuona eti naye ni msaliti yaani hawataki washauriwe kabisa matokeo yake mwakani sidhani kama ruzuku wanayoitumbua kwa sasa wataipata tena.
 
Ndugu zangu,

Kuna kila dalili Mnyika pia akafuata nyayo za makatibu wakuu waliomtangulia, alianza Dr.Walid Kaburu (RIP), akafuata Dr.Slaa, na sasa Dr.Mashinji ni ngumu ukiwa mweledi ukabakia Chadema.

Kuna shida mahali, si ndogo ni kubwa, hawa makatibu wakuu wameacha kovu kubwa na Chadema ikiendelea kukaza shingo zitakatika.Hata Mnyika si mwenye furaha, anapelekwa mzobemzobe, amekuwa na msongo wa mawazo, muda ukifika nayeye atabwaga manyanga.

Narudia tena, Makatibu wakuu hawa wameshika waya wa betri, tulionya tukapuuzwa.

1: Amekutuma ukaseme au umejtuma?
2: Ina maana si mweledi?
 
Usimuamini Mwanasiasa kabisa
CHADEMA ni kweli kuna shida.

Binafsi mimi namwamini TUNDU LISSU kuwa ndo mpinzani haswa ndani ya Tanzania.

Kipindi Lowassa anaingia CDM humu ndani zikaletwa nyuzi nyingi kuhusu uamuzi wa CDM.

Wengi waliopinga uamuzi wa CDM walisema Chama kimeingiwa na tamaa za fedha na taratibu kinaanza kupoteza misingi yake, baadhi tuliwapinga wale watu ile leo picha nzima tunaiona.

LISSU ana mapenzi haswa na Chama, hata akadiriki kusimama kumpinga Slaa kuhusu kujitoa Chadema. Na ukweli usiopingika Slaa alinunuliwa.

Mpaka sasa mimi niaminicho ni hiki, hakuna mpinzani Tanzania kama LISSU.

Huyu jamaa nimemfatilia saana na akili yangu imehitimisha hivyo, LISSU leo akianzisha chama mimi ntaenda kupanga foleni kuchukua kadi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom