OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,178
- 103,657
Kwa ufupi sana.
Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.
Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.
Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu
Tunaona mama akifanyia kazi malalamiko ya wananchi kuhusu viongozi mahalamia wanaotumia vyombo vya ulinzi kufanya unyanganyi na uporaji na ukandamizaji.
Kwa mambo ambayo alikuwa akifanya Magufuli dhidi ya wapinzani wake leo hii angekuwa hai alitakiwa kuondolewa kwenye urais na kuchunguzwa kwa kukiuka haki za binaadamu.
Usiniulize angechunguzwa na nani. Hoja yangu ni kwamba alikuwa na kila sifa za kuondolewa urais na kuchunguzwa kwa uvunjifu wa katiba ya nchi na haki za binadamu