Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Nilidhani wale wadada wanaoangukiwa na wazee wakati wa mambo yetu ni kwetu tu binadamu. Leo imemtokea Jogoo wangu live, bahati nzuri nimewahi kurekodi tukio.
Halafu imenionyesha jinsi gani wadada walivyokuwa hawana msaada hasa mwanaume anapopatwa na hali kama hii, angalia hilo koo hapo lilivyokimbia baada ya Jogoo kuanza pepesuka.
Halafu imenionyesha jinsi gani wadada walivyokuwa hawana msaada hasa mwanaume anapopatwa na hali kama hii, angalia hilo koo hapo lilivyokimbia baada ya Jogoo kuanza pepesuka.