MR MLAWA
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 282
- 428
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu. Leo hii nimeona sio vibaya kufikisha ujumbe au tukabadilishana mawazo jambo lenyewe ni:
Katika pita pita zangu ilikua mida ya mchana kuna sehemu nilienda kupata huduma ya kununua maji ya kunywa maana nilishikwa na kiu maana jua lilikua kali mno nikawa nimepumzika pembeni kidogo.
Mara akaja bodaboda akiwa na abiria wake akashuka akaenda kufanya huduma mazungumzo yalikua hivii maana niliyasikia yote.
Mteja: Habari yako
Mfanya biashara: Salama karibu boss
Mteja: Asante vipi ninaweza nikapata kiasi cha pesa kama Milioni moja na laki mbili 1.2 Mil mteja akiwa ametoa kadi yake ya bank na kumpatia mfanya biashara.
Mfaya biashara: Akamwambia ndio boss unaweza ukapata.Mfanya biashara akaanza proccess za kuanza kumtolea kwa kadi lkn kabla hajafika popote mara ghafla;
Mteja: Unayo mashine ya kuhesabia pesa?
Mfanya biashara: Hapana sina ninahesabu kwa mkono tu boss wangu.
Mteja: Hapana wacha niondoke nachelewa.
Mfanya biashara : Kama unaona utachelewa sawa hamna shida mteja akachukua kadi yake na kupanda boda akaondoka.
Nikaona hili suala limenigusa mno na kila nikijiuliza maswali bado nashindwa kuelewa hivi kweli yule mteja alishindwa kuhesabu milion moja na laki mbili kwa mkono au shida nini.Kwanini tunapenda kua na haraka zaidi kuliko kufanya mahitaji kama jamaa lengo lake lilikua ni kupata pesa kwa nini alishindwa kua na subira?
Machache ni hayo tu shere nawe kwa uelewa wako kuhusu uzi huu.
Mteja:
Katika pita pita zangu ilikua mida ya mchana kuna sehemu nilienda kupata huduma ya kununua maji ya kunywa maana nilishikwa na kiu maana jua lilikua kali mno nikawa nimepumzika pembeni kidogo.
Mara akaja bodaboda akiwa na abiria wake akashuka akaenda kufanya huduma mazungumzo yalikua hivii maana niliyasikia yote.
Mteja: Habari yako
Mfanya biashara: Salama karibu boss
Mteja: Asante vipi ninaweza nikapata kiasi cha pesa kama Milioni moja na laki mbili 1.2 Mil mteja akiwa ametoa kadi yake ya bank na kumpatia mfanya biashara.
Mfaya biashara: Akamwambia ndio boss unaweza ukapata.Mfanya biashara akaanza proccess za kuanza kumtolea kwa kadi lkn kabla hajafika popote mara ghafla;
Mteja: Unayo mashine ya kuhesabia pesa?
Mfanya biashara: Hapana sina ninahesabu kwa mkono tu boss wangu.
Mteja: Hapana wacha niondoke nachelewa.
Mfanya biashara : Kama unaona utachelewa sawa hamna shida mteja akachukua kadi yake na kupanda boda akaondoka.
Nikaona hili suala limenigusa mno na kila nikijiuliza maswali bado nashindwa kuelewa hivi kweli yule mteja alishindwa kuhesabu milion moja na laki mbili kwa mkono au shida nini.Kwanini tunapenda kua na haraka zaidi kuliko kufanya mahitaji kama jamaa lengo lake lilikua ni kupata pesa kwa nini alishindwa kua na subira?
Machache ni hayo tu shere nawe kwa uelewa wako kuhusu uzi huu.
Mteja: