Hata kama una haki....

Nyani mbona zamani ulikuwaga poa tu imekuwaje siku hizi mshkaji?

Umeona jina linashuka JF unalazimisha kiki?
 
Lisu nilikua simuelewi ila sasa namuelewa sana usipomuelewa leo utamuelewa kesho, The guy is genius anatambua mambo mapema sana hata kabla wengi wetu hatujaona, Anafaa kutumiwa kama dira na mwenye mamlaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
share1501154164.png
 
Sasa uongo na uzushi ndo uchochez?
Huyo anayechukia kila kukicha anawaita wenzie vilaza,mkapa anawaita wenzie WAPUMBAVU na MALOFA hao wapo kundi gani?

May Allah bless Me and You
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda:D.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Utakua bashite kama siyo wewe ni yule mjomba wake kule Azina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ben si ajabu kapotezwa na Mbowe na CHADEMA yake....

Hata kuanzisha harambee kwenye GoFundMe mchangishe pesa za kutumika kumtafuta hamjafanya.

Aibu.
Nyani naona yale mabango umeshatandika kwenye kitanda sasahivi unalala kwenye matandiko ya mabango taratibu kiulaini.Lugha kama hizi kwa mtukufuwenu ni ya kulamba tu kama Asali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona uelewa wako mdogo sana kama panzi kama siyo Nyumbu....unaamua kutuita nyie wewe unajiondoa ukifikiri hilo unaloshadadia likibuma halikuhusu, hata kina Tsavangirai wakat wanapiga debe Zimbabwe itengwe waliwaita watawala nyie wakijua Zimbabwe ikitengwa wao watakuwa salama lkn sasa kama siyo wao bas ndugu na jamaa zao wanateseka huku Mugabe akitanua kwa sana, sherehe dailly state house..fikiri kwa kutumia bongo yako acha kuitika kila nyimbo inayopigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka me nijiingize ni mtawala????
Wapeni ushauri wazingatie [HASHTAG]#utawala[/HASHTAG] wa sheria na Utawala bora.
Kwan kufuata katiba ni vigumu????


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akifungwa mtasema kaonewa.
Mbona JPM hajahojiwa kuwaita VILAZA WENZIE?
Wanasiasa wangapi wameshafungwa mwaka huu?
1.Mbunge wa Kilombero
2.Mwenyekiti wa CDM Lindi vijijini

May Allah bless Me and You
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda:D.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Nini amekosea je c kweli kuwa kuna ukanda?na hata undugu acha unafiki na je yeye anayoruhusa ya kutukana na kukashifu wenzie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda:D.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Huu ni mtazamo wako binafsi sio wa kila mtu kwakuwa wengine wanayaona kabla ya kuambiwa na Tundu Lissu.
Uchochezi ni kusema/kupandikiza kitu ambacho hakipo lakini kama kipo na mtu akasaidia kukionesha kwa wasio kiona je kasema uongo je kachochea?!

Ingekuwa heri watu wakakemea maovu kuliko kukemea anayekemea maovu kisa anayetenda maovu mnamuogopa.
 
ww bwege si unajifanyaga unaishi marekani,mambo ya tz yanakuhusu nini?
Huu ni mtazamo wako binafsi sio wa kila mtu kwakuwa wengine wanayaona kabla ya kuambiwa na Tundu Lissu.
Uchochezi ni kusema/kupandikiza kitu ambacho hakipo lakini kama kipo na mtu akasaidia kukionesha kwa wasio kiona je kasema uongo je kachochea?!

Ingekuwa heri watu wakakemea maovu kuliko kukemea anayekemea maovu kisa anayetenda maovu mnamuogopa.

Nawe huo ni mtazamo wako.
 


Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...

Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.

Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.

Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.

Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.

Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.

Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda:D.

Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.

Kunya anye KUKU BATA anaharisha sio, nyie mliwaaminisha watu kuwa CDM NI CHA WACHAGA NA NI CHAMA CHA UKANDA, LEO KUSEMWA KIDOGO TU UCHOCHEZI, OK NA KUSEMA RAIS HATOKI SEHEMU FULANI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom