Unafikiri magorofa ya pale jirani na barabara hiyo yanajiotea tu?Mkuu,akitoka nani atakuwa analeta zaka na sadaka mezani pa bwana?
Kwa mara ya mwisho ilifanyiwa ukarabati lini?INA zaidi ya miaka 20
Mkuu hii ya Kyaka - Mutukula ina tatizo gani?Hata barabara ya Kyaka - Mutukula nayo ni hivohivo, labda walishatoa report ila bado fungu.