Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
Tukirejea kauli ya mkuu wa nchi kuwa hawa watu wasisumbuliwe, lakini kuna baadhi ya maeneo mtu mwenye akili timamu ukipita lazima upate kichefuchefu.
kwa watumiaji wa mandela road mradi wa flyover {ubungo interchange} unaendelea lakini machinga nao wamo wanajibanabana mara leo yuko hapa kesho kule wengine hadi wamesukumiziwa kwenye ukuta wa tanesco ambako ni hatari tupu..
sasa mi najiuliza hatuwezi tukapisha mradi mkubwa kama huu, naona kama tunawabugudhi wajenzi na ni aibu kubwa mno kushindwa kuacha eneo free ili mkandarasi afanye kazi yake kwa uhuru.
Hata watu wa osha sijui wako wapi pale ni site watu wanatakiwa wawe na safety gears .sasa machinga wanafanya kazi gani eneo la site bali na kuhatarisha maisha yao, kwa kweli ni aibu mno walitakiwa wapishe kwa nguvu yoyote.nguo zenyewe zinazouzwa zimechafuka vumbi mpaka basi.
najiuliza mpaka nashindwa kuelewa na wala sina kinyongo nao lakini walipaswa kupisha ujenzi,
Ova..
kwa watumiaji wa mandela road mradi wa flyover {ubungo interchange} unaendelea lakini machinga nao wamo wanajibanabana mara leo yuko hapa kesho kule wengine hadi wamesukumiziwa kwenye ukuta wa tanesco ambako ni hatari tupu..
sasa mi najiuliza hatuwezi tukapisha mradi mkubwa kama huu, naona kama tunawabugudhi wajenzi na ni aibu kubwa mno kushindwa kuacha eneo free ili mkandarasi afanye kazi yake kwa uhuru.
Hata watu wa osha sijui wako wapi pale ni site watu wanatakiwa wawe na safety gears .sasa machinga wanafanya kazi gani eneo la site bali na kuhatarisha maisha yao, kwa kweli ni aibu mno walitakiwa wapishe kwa nguvu yoyote.nguo zenyewe zinazouzwa zimechafuka vumbi mpaka basi.
najiuliza mpaka nashindwa kuelewa na wala sina kinyongo nao lakini walipaswa kupisha ujenzi,
Ova..